Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 34
Mkuu Mzee Mwanakijiji nashukuru sana kwa hii kitu maana nimecheka mpk basi naomba na wengine ambao hawajachungulia KLH News kule waone madaraka yalivyo matamu. Swali linakuja : Je kwa Mpango huu tutaweza kweli kuwatoa Mafisadi hasa tukizingatia wali wasiowalipa viongozi naa wenzetu wa chama cha upande wa pili.
Bonyezi ki ndebele hapo kwenye link:
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid1137883380?bctid=1640107138
Bonyezi ki ndebele hapo kwenye link:
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid1137883380?bctid=1640107138