Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Safari ya mwisho ya katibu mwenezi wetu wa chadema kata ya kimandolu robat bifoo umetuachia pengo kubwa sana ulikuwa jemedari ulipigania haki tuta yaenzi yale mema uliyo acha bifoo tumekupenda lakini Mungu amekupenda zaidi Bifoo kaka yetu rafiki yetu naandika nikiwa natoa machozi ila tutakuombea ufike pema peponi ulikuwa unatushauri mambo mengi sana hususan kisiasa kazi ya bwana haina makosa r.i.p kaka yetu amen