R.I.P degree yangu

Mkuu unawezaga ukafatilia hata uzi moja ujue kulikoni.
Sasa watu wananiambia niseme ila ni mengi ndio maana nimewaambia kama wameguswa wanaweza pitia nyuzi mbili tatu sasa hawaelewi

Mkuu mambo ni mengi? kwani haukufupisha habari kwa maneno 200 katika somo la kiswahili o-level? weka main points usaidiwe mkuu!
 
Acha majungu,ushindwe mwenyewe kusoma hlf utafute watu wa kulaumu haitokusaidia pambana na hali yako kama ndo uliyoyachagua hayo
 
Mkuu r.i.p degree yako??

Eleza eleza basi nini tatizo tujue tunakushauri vipi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…