Dini zimefanya dunia kuwa sio sehemu salama ya kuishi,Mimi naona maada yako ina lengo la kuficha ukweli kuwa makundi yote ya msimamo mkali yanampigania Allah.alikaida,alnusra,Boko haramu,alshababu n.k.hao nao je?msipindishe ukweli,wengine tulionao kwa jamii wameficha makucha tu na kwa sababu ya sheria za nchi husika la sivyo sijui ingekuwaje.
Nukta.