Qwiki raka; CHADEMA ni chama makini

Qwiki raka; CHADEMA ni chama makini

Dj-kobo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
458
Reaction score
193
Msanii maarufu wa bongo fleva anaejulikana kwa jina la qwiki raka amesema CHADEMA ni chama makini sana. Msanii huyo amesema hayo maneno wakati akifanyiwa mahojiano katika kipindi cha SIZ KITAA KINACHORUSHWA NA CLOUDS TV.
 
Ngoja wale wa buku saba jamiiforumsisiem waitane kuja kupingana na ukweli. Alichokisema Raka ni obvious, sawa na mtu aseme Obama alikuwepo Tanzania wiki hii.
 
sijui ilianzaje mpaka wakataja cdm by the way wasanii wote inabidi mbadilike na muachane na tabia kama za khamis mwinjuma,madee,mpoto etc.
 
sijui ilianzaje mpaka wakataja cdm by the way wasanii wote inabidi mbadilike na muachane na tabia kama za khamis mwinjuma,madee,mpoto etc.

wala sichangai kwa mtu kama huyo kukipenda cdm maana cdm ni chama cha watu wa namna yake
 
hofu yangu ile video yake mpya cjui kama itaendelea kuchezwa na clouds tv.nadhan hafaham kuwa clouds media iko affiliated na magamba.ila nampongeza kwa kujitambua.bado izzo busnes n' the likes.mbeya city stand up!!!!
 
sijui ilianzaje mpaka wakataja cdm by the way wasanii wote inabidi mbadilike na muachane na tabia kama za khamis mwinjuma,madee,mpoto etc.

duh ata Mpoto sijui ! Ila kama ni kweli atakuwa amekula matapishi yake na zaidi kama sio kinyesi chake ,
 
vijana tuchangamke....tupiganie mabadiliko nashukuru hata wasani wengi wamestuka sasa...
 
Pamoja sana kamanda Quik de racka.... Ngoja niingie Mp3 sky sasa hivi ili ni download ngoma yako mpya ili nisikilize huu usiku maana umenifurahisha sana.
 
Back
Top Bottom