Kuruani ni aina ya chakula au mmea au kiumbe gani.
Mimi leo ndio nasoma hilo jina.
Pili kabla hatujajibu lolote nataka nikukumbushe tu kuwa bila waarabu we mkerewe mpk leo usingejua kuna lugha ya KISWAHILI.
Hilo jina unalotumia kutukania waarabu 'na lenyewe la kiarabu.
Yaani kifupi wewe bila waarabu hata hapa JF usingepajua.
Kuweni ba shukuruni japo kidogo enyi wanakondoo mliopotea