Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,593
It has an explanation - even the Greek (economic) tragedy can be explained!
Lame explanation.....
It has an explanation - even the Greek (economic) tragedy can be explained!
Lame explanation.....
Have you read it - where?
Ulivyo juha umeshindwa hata kuoanisha uhusika wa ubongo wako na matendo yako. Hivi unataka kuniambia wakati unachapa (type) ubongo wako ulikuwa umeganda? Au hujui kuwa matendo yetu huanzia kwenye ubongo kwanza?
Sikujua kama uko kiazi namna hii....eti nimekukamata kwenye "kyeboard na siyo kwenye ubongo"....delirious!!!!
NN wewe hapo kwenye blue ubongo wako ulikuwa umeganda?
Nyani Mwana Ngabu Wantazania ni tofauti sana na Waafrika wengine. Ili Mitanzania iendelea inabidi iachane na kumtumia Mwalimu kama kisingizio cha kuendekeza utamaduni wa kufeli ni kujifukarisha. Tumeshajua wapi Mwalimu alikosea. Sasa kilichobaki ni kurekebisha na kusonga mbele. Kama Mwalimu alichukua ardhi na kushindwa kuiendeleza basi irudi kwa wananchi walime. Na kama Mwalimu alianzisha makampuni yaliyokufa kutoka na menejimenti mbovu tuyafufue au tuanzishe mengine yenye tija. Tena kama Mwalimu alichukua taasisi za elimu na kuzidumaza basi zirudi kwa wahusika wazikuze.
Huu Mzimu wa Mwalimu inabidi tuupumzishe kwa amani kama tunataka kweli kuendelea kama Taifa!
(emphasis added)
This sums up what I would like to say about kumdiscuss Nyerere: so what? Does it mean miaka hii 25 after Nyerere, we have Nyerere a more priority to discuss than what happened in 25 years?
"ordinary minds discuss events" -- which event that happened during Nyerere time that still affect us, in which by discussing it will give us a solution to our current problems? Is there anything we can do about those events?
"but [we!] the great minds discuss ideas" -- Which Nyerere's idea is on the table to be discussed? How is that idea still affects our lives today? I thought zama za "zidumu fikra" zilishasahauliwa? Is there anything we can do about those ideas?
"simple minds discuss people" -- or are discussing Nyerere as a person? How will that solve our current problems? Is there anything we can do about him?
Watu wenye mitazamo hii huwa nawauliza: Mjerumani alitawala Tanganyika takribani toka 1885 - 1918, Mwingereza akatawala toka 1918 - 1961, Nyerere akaongoza toka 1961 -1985 halafu urithi wote mbovu wa Tanzania anatwisha mtu mmoja: Mwalimu Nyerere! Hivi na wewe pia ni urithi wa Nyerere - mawazo yako na fikra zako zote ni kwa sababu ya Nyerere? Mwalimu Nyerere ndiye ametupa kina Juma Contena ambao wanashindwa kuiendeleza Tanzania na kuishia kulalamika kuwa eti wameshindwa miserably kwa ajili ya Nyerere? Take responsibility man! Change that system - systems are never changed by blaming people!
tazama sasa ulivyokuwa una matatizi m(w)od umebadilisha headline si ilikuwa hiviQuestioning Mwalimu is of benefit to our understanding
Una matatizo gani we kweli ulipelekwa na k..... upo ulipo labda ukutegemea. Ebu muulize dogo akwambie mi sipo hapa kutafuta ajira, kuandika nakala, kutafuta connections i can do that on my own and I have enough people to achieve not to mention my own wit nigger pls achana na mimi.Re: Questioning Mwalimu is a benefit to our understanding
tazama sasa ulivyokuwa una matatizi m(w)od umebadilisha headline si ilikuwa hivi Una matatizo gani we kweli ulipelekwa na k..... upo ulipo labda ukutegemea. Ebu muulize dogo akwambie mi sipo hapa kutafuta ajira, kuandika nakala, kutafuta connections i can do that on my own and I have enough people to achieve not to mention my own wit nigger pls achana na mimi.
naQuestioning Mwalimu is of benefit to our understanding
?Re: Questioning Mwalimu is a benefit to our understanding
If there was nothing wrong why change it? r u saying his was the right english?JC, kwani tofauti ni ipi kati ya na ?
tazama sasa ulivyokuwa una matatizi m(w)od umebadilisha headline si ilikuwa hivi Una matatizo gani we kweli ulipelekwa na k..... upo ulipo labda ukutegemea. Ebu muulize dogo akwambie mi sipo hapa kutafuta ajira, kuandika nakala, kutafuta connections i can do that on my own and I have enough people to achieve not to mention my own wit nigger pls achana na mimi.
Kwanza nazuga tu hapa ndoto zangu Tanzania aziwezi nitimizia hata raisi wetu angekuwa 'Clement Atlee' acha ushamba na achana na mimi. Nikiamua kua attack I do attack you aint seen nothing yet idiot out of me. Sasa usishangae kwanini wengine wanabaki kuongea tu behind me and na wakiniona mwenyewe ufyata again nigger pls mi nazuga tu hapa and no offer could tempt me we **** I have my missions and Tz politics aint one.
Hili ufurahi im out of here i loose nothing and i gain nothing at the same time ***** mimi kweli i dont follow trouble but trouble follow me. Bear in mind sikujui labda siku nyingine ikupunguzie chuki na watu usiowajua **** wewe.
Mmepewa nchi kuiongoza you have failed miseralbly in the last five years and still you will be given another five years to fail us ILE MBAYA!
MMEWEKA PICHA KILA KONA UTDHANI RAIS ANACHAGULIWA KWA PICHA!
MANDELA ALIWAHI KUSEMA WAAFRICA WATU WA AJABU TUNABAKI KULAUMU UKOLONI WAKATI UWEZO WA KULETA MAENDELEO TUNAO. SASA VIONGOZI WA TANZANIA WAKISHINDWA KUONGOZA NCHI WANAANZAKUTUMA WATOTO WAO KUJA HAPA SHAMELESSLY KUTUMBIA TUMJADILI NYERERE.
LABDA NI AFAF=DHALI USEME TUJADILI JISNSI GANI TUTAANZISHA KATIBA, PIA KURUHUSU WAGOMEA BINAFIS NK! UONE MAANA KIONGOZI WA SASA ANAOGOPA SANA MGOMEBA BINAFSI NA MAGEUZI AMENUNUA TV, RADI, NA MAGAZETI YOTE!!!!
AMA KWELI YOU WILL FAIL US BADLY AND LEAVE THE COUNTRY IN A GLOOMY STATE FOR SEVERAL YEARS TO COME!