quele quele love!

Mie nasikitika sana mtu akipendwa alafu anaanza uchenjeu wa kutengeneza distributaries zisizo rasmi!! Sio vizuri kabisa.......utanisoma tu Kaizer, manake nitakuganda mpaka nafsi yako ikusute!!

Haya, hebu nambie, tangazo la wewe kunipenda kiais hiki uliliweka ubao upi wa matangazo, MMU, chit chat, siasa au jukwaa pendwa? Huo mgando wako mbona sijaufeel kabisa?
 
Haya, hebu nambie, tangazo la wewe kunipenda kiais hiki uliliweka ubao upi wa matangazo, MMU, chit chat, siasa au jukwaa pendwa? Huo mgando wako mbona sijaufeel kabisa?

Hahah........dah sikujua kama sijaeleweka!! Kaizer siko kwa mapenzi na wewe, but how do you consider my big sisy akupendae kwa dhati kabisa?? Huyo ndiye ninaemzungumzia....sio mimi binafsi! Lol (we jitoe tu ufahamu)
 
Last edited by a moderator:
Yako wapii mapenzi wouwooo dunianii...bella ooh ooh njoo nikupendeee
hata nikifa usije msibani kwa sababu una rohoo mbaya...we mubayaa (source Christian Bella - Akudo sound)

Yetu macho
 
Tenda babaa......tenda miujizaa! Lol

Huyo ndo Jg ! A man of action, utamtaka tu! Upende usipende! Nache nitumbue coz niliwahi kutoa jasho jingi at the peace period, so far napoteza damu chache wakati wa vita.
 
Hahah........dah sikujua kama sijaeleweka!! Kaizer siko kwa mapenzi na wewe, but how do you consider my big sisy akupendae kwa dhati kabisa?? Huyo ndiye ninaemzungumzia....sio mimi binafsi! Lol (we jitoe tu ufahamu)

He! Kipipi mi nilidhani mi
Na wewe tunaongelea
Mapenzi yetu kumbe! Mjadala umefungwa kama si mapenzi na mimi baaaas. Kha!
 
Last edited by a moderator:
Yako wapii mapenzi wouwooo dunianii...bella ooh ooh njoo nikupendeee
hata nikifa usije msibani kwa sababu una rohoo mbaya...we mubayaa (source Christian Bella - Akudo sound)

Yetu macho

Asee umenikumbusha mbali sana
 
He! Kipipi mi nilidhani mi
Na wewe tunaongelea
Mapenzi yetu kumbe! Mjadala umefungwa kama si mapenzi na mimi baaaas. Kha!

Dah.....kweli shem langu umeambukizwa ugonjwa mbaya, na huyo atakuwa ni babu Asprin tu! Lol
 
Last edited by a moderator:
Bishanga zat dalili ni dhahir sasa unahitaji nikuhamishie tulipokutoa fcbk! Aidha ni kama vile unatafuta shipa (simtank ltr 50)
Tahadhari mkuu ikiwa huhitaji tena kuvaa jeanz na suruali zako za vitambaa endelea! Utamaliza muda wako sayarini ukidumu na msuli.

Upande wa rare nadhani utakua umebugi step , sasa hivi nna hela mpaka najitamani nijiteke mie mwenyewe!

Kwi kwi kwi kwi wakujua weye makete kwa babu wagagagigikoko?
 
Back
Top Bottom