Uchaguzi 2020 Queen Sendiga: Njombe mnahitaji maji safi na salama na yenye uhakika

ADC Party

Member
Sep 14, 2020
28
29
Njombe leo:

Maji ni uhai, mkoa wa njombe ni moja ya mikoa mikubwa katoka nchi yetu, mbali ya kusifika kwa ardhi nzuri inayostawisha mazao mengi ya biashara ikiwemo chai na miti.

Lakini bado inakabiliwa na changamoto ya maji Safi na salama licha ya kuwepo kwa maporomoko ya maji milimani bado serikali imeshindwa kumpa uhakika wa maji Safi na salama mwananchi wa njombe

Tukipata kibali kwa watanzania tatizo la maji njombe litakua ni hadithi, serikali ya ADC itamafisha mamlaka za maji nchini ikiwa ni pamoja na kutenga fedha zaidi ili kuimarisha usambazaji wa maji haswa vijijini nyumba Hadi nyumba kumhakikishia maji Safi na salama ya gharama nafuu

Pamoja na hayo mgombea alinadi vipaumbele vya chama cha ADC vyenye lengo la kupambana na maadui watatu wa hili
UJINGA - Elimu

MARADHI - Afya
UMASKINI- Kilimo kitakua UTI wa mgongo wa Tanzania ili kuongeza tija kwa wakulima,ajira,mapato zaidi kwa Taifa
Queen Sendiga ameomba watanzania waamini Ilani na sera za ADC na wampe Kura za ndio ifikapo tarehe 28/10/2020
Amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi tarehe 28 kupiga kura maana ni haki yao ya kimsingi ambayo hawatakiwi kuipoteza.

312577319.jpg
599168312.jpg
776736953.jpg
1458460654.jpg
 
Anaendeleaje mama yetu huyu? Inasikitisha midume mizima kwenda kumshambulia mgombea wetu.
Mungu ni mwema anaendelea vizuri , majeruhi wawili ambao ni wasaidizi wa kampeni nao wanaendelea vizuri , tumeweza kuingia Mkoa wa Mbeya ,wilaya Njombe na kufanya mikutano kwa usalama. Tunazidi kukemea vitendo hivi maana vinachafua Utanzania na utu wetu .
 
Mungu ni mwema anaendelea vizuri , majeruhi wawili ambao ni wasaidizi wa kampeni nao wanaendelea vizuri , tumeweza kuingia Mkoa wa Mbeya ,wilaya njombe na kufanya mikutano kwa usalama. Tunazidi kukemea vitendo hivi maana vinachafua Utanzania na utu wetu .
Nmetumea mpaka hujui Njombe ipo wapi
 
CCM hawana shukurani. Mnawasaidia kwa kupiga kura za kuwafungia wapinzani wa kweli akina Lissu na Maalim Seif wasifanye kampeni halafu wanampiga mgombea wenu! Shukurani ya punda kweli ni mateke.
 
CCM hawana shukurani. Mnawasaidia kwa kupiga kura za kuwafungia wapinzani wa kweli akina Lissu na Maalim Seif wasifanye kampeni halafu wanampiga mgombea wenu! Shukurani ya punda kweli ni mateke.
Chama cha Mbowe na Zitto malaghai wa kisiasa. Mnakwenda na maji Oct 28.
 
Njombe leo:

Maji ni uhai, mkoa wa njombe ni moja ya mikoa mikubwa katoka nchi yetu, mbali ya kusifika kwa ardhi nzuri inayostawisha mazao mengi ya biashara ikiwemo chai na miti.

Lakini bado inakabiliwa na changamoto ya maji Safi na salama licha ya kuwepo kwa maporomoko ya maji milimani bado serikali imeshindwa kumpa uhakika wa maji Safi na salama mwananchi wa njombe

Tukipata kibali kwa watanzania tatizo la maji njombe litakua ni hadithi, serikali ya ADC itamafisha mamlaka za maji nchini ikiwa ni oamojabna kutenga fedha zaidi ili kuimarisha usambazaji wa maji haswa vijijini nyumba Hadi nyumba kumhakikishia maji Safi na salama ya gharama nafuu

Pamoja na hayo mgombea alinadi vipaumbele vya chama cha ADC vyenye lengo la kupambana na maadui watatu wa hili
UJINGA - Elimu

MARADHI - Afya
UMASKINI- Kilimo kitakua UTI wa mgongo wa Tanzania ili kuongeza tija kwa wakulima,ajira,mapato zaidi kwa Taifa
Queen Sendiga ameomba watanzania waamini Ilani na sera za ADC na wampe Kura za ndio ifikapo tarehe 28/10/2020
Amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi tarehe 28 kupiga kura maana ni haki yao ya kimsingi ambayo hawatakiwi kuipoteza.

View attachment 1603299View attachment 1603300View attachment 1603302View attachment 1603304
Huyu mama ni mpambanaji sana na anaonyesha anahitaji nafasi ya kuingia madarakani kwenye nchi ambayo wananchi wake huchagua viongozi si uwezo na weledi wao bali umaarufu wao au vyama vyao
 
Njombe leo:

Maji ni uhai, mkoa wa njombe ni moja ya mikoa mikubwa katoka nchi yetu, mbali ya kusifika kwa ardhi nzuri inayostawisha mazao mengi ya biashara ikiwemo chai na miti.

Lakini bado inakabiliwa na changamoto ya maji Safi na salama licha ya kuwepo kwa maporomoko ya maji milimani bado serikali imeshindwa kumpa uhakika wa maji Safi na salama mwananchi wa njombe

Tukipata kibali kwa watanzania tatizo la maji njombe litakua ni hadithi, serikali ya ADC itamafisha mamlaka za maji nchini ikiwa ni oamojabna kutenga fedha zaidi ili kuimarisha usambazaji wa maji haswa vijijini nyumba Hadi nyumba kumhakikishia maji Safi na salama ya gharama nafuu

Pamoja na hayo mgombea alinadi vipaumbele vya chama cha ADC vyenye lengo la kupambana na maadui watatu wa hili
UJINGA - Elimu

MARADHI - Afya
UMASKINI- Kilimo kitakua UTI wa mgongo wa Tanzania ili kuongeza tija kwa wakulima,ajira,mapato zaidi kwa Taifa
Queen Sendiga ameomba watanzania waamini Ilani na sera za ADC na wampe Kura za ndio ifikapo tarehe 28/10/2020
Amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi tarehe 28 kupiga kura maana ni haki yao ya kimsingi ambayo hawatakiwi kuipoteza.

View attachment 1603299View attachment 1603300View attachment 1603302View attachment 1603304
Mkutano teyari?
 
Back
Top Bottom