Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 822
- 343
Pol Pot vipi mwenzetu mbona unahemuka
leo siwajaona watoto wa obama maria na sasha
Tena mpaka 1960 RC walikuwa hawaruhusiwi kuingia kanisani bila headscarf.Trace back to the old days uone namna wanawake walivyokuwa wakivaa huko ulaya
Du! Watu MNA mambo?Mkuu nathani kulikuwa na uzi huku ukilalamika kwanini kina saha wapo kila sehemu wazazi wao wakienda. Sasa ujjue inawezekana obama alisoma comment zenu akaona iswe tabu.
Wpo shuleleo siwajaona watoto wa obama maria na sasha
Dini siyo kigezo cha kuiona PEpo mkuu! Wangapi ni swala 5! Lkni wana zini?! Wangapi wanaomba tena huku wanalia kama wamefiwa lakini ni wanafiki wakubwa so think twice!Hakika mkuu.maana mamia kwa maelfu ya wazungu wanasilimu.
Jibu zuri, tunawaona wazee wengi UK wanavaa headscarf na sasa itakuwa fashion maana wengi wasichana wamevaa kuonyesha upendo kwenye mitandaoMalkia kavaa shauri ya baridi tu, huo umri wake unatosha kabisa kumfanya avae hivyo;
...na walipoingia ndani wakavua. Hii inanikumbusha yule DC wa Igunga aliyekuwa anatumika kuhujumu CHADEMA na kuna siku akawekwa mtu-kati akadundwa. Alikuwa amevaa kilemba/hijab, waislam wakachonga saaaaana kwamba mama yule kavuliwa hijab (mabega na magoti yalikuwa wazi hilo hawakuangalia)...wakaona muislam mwenzao kadhalilishwa simply from hijab......la haula ikagundulika kumbe yule mama anafuga nguruwe......likawashuka puuuuuu!! Huyu Malkia kavaa kikinga baridi washasema anataka kuritadiMbona ni kitambaa cha kawaida, huoni wengine walivyovaa makoti ya baridi.
Watu wakimezwa na imani flani inakulimit umbali wa kufikiria mambo....na walipoingia ndani wakavua. Hii inanikumbusha yule DC wa Igunga aliyekuwa anatumika kuhujumu CHADEMA na kuna siku akawekwa mtu-kati akadundwa. Alikuwa amevaa kilemba/hijab, waislam wakachonga saaaaana kwamba mama yule kavuliwa hijab (mabega na magoti yalikuwa wazi hilo hawakuangalia)...wakaona muislam mwenzao kadhalilishwa simply from hijab......la haula ikagundulika kumbe yule mama anafuga nguruwe......likawashuka puuuuuu!! Huyu Malkia kavaa kikinga baridi washasema anataka kuritadi