Good good!
Mi nawaadmire wadada walio tulia kwenye ndoa zao!!
Wamama wanaohangaika kulea watoto wao wenyewe!!
Wakaka/wababa wakweli na waaminifu kwa wenzi wao.
Wababa wasiokimbia majukumu.
Vijana wenye mitizamo hasi!
Na wote wanaokwepa kuwatapeli wenzao iwe kwenye mapenzi au maishani kwa ujumla!
Pia wote wanaoleta thread na kutoa michango ya mafunzo hapa jamvini!
Ungekua unaweza usingesema unatamani kua kama kijana anayeweza...kubali tu kwamba sketi ikijileta kwako hata kama ni bibi kizee huwezi kuitolea nje!
lizzy hapo juu
ulimaanisha mitizamo chanya sio?
positive outlook???????
umeona uchokoz wakoee?
na-admire wanaume romantic..siju jitu cold mpaka noma huoni raha ya mapenzi, utani na purukushani za hapa na pale.
pia mwepesi wa kumaliza viporo vya ugomvi mkikosana, siyo ukikosea kidogo anabeba bango mwezi au miezi..
mhhhhhhhhhhhhh
naona sijaeleweka
YAANI!wengi hawajaelewa naona hata majibu wanajibu tofauti. Kama mitihani wote wana supp.
Dah BJ hii sasa ni komesha lol...
labda utusaidie wengine, hivi mwanaume romantic huwa yukoje?
wengi hawajaelewa naona hata majibu wanajibu tofauti. Kama mitihani wote wana supp.
jamani leo ningependa tujadili hiki kitu
sometimes unakutana na watu wanakugusa kwa tabia zao
quality fulani ambazo pengine unatamani kuwa nazo lakini huna
au huwezi kuwa nazo.....
mfano wapo watu wana uwezo wa kusamehe hata kosa liwe kubwa vipi
wengine hawana wivu kabisa,hata akikukuta unaongea na mkewe
hamgombani kabisa....
wengine hawakasiriki kabisa hata uwafanye nini....
na kadhalika na kadhalika
sasa wewe ni quality ipi ambayo huna but ungetamani kuwa nayo???????
mimi huwa nawa admire sana watu ambao wana uwezo wa kukataaa
mwanamke mzuri kwa sababu tu yupo tayari na mwingine
tena bila kuonja....
nilikutana na dogo mmoja nikasema...
why i am not like him lol
haya nicango yenu tafadhali..........
I admire myself.
TM, Hamna quality ambayo sina that's why i admire my self.Boss kauliza hivi kwenye mada yake:
"sasa wewe ni quality ipi ambayo huna but ungetamani kuwa nayo???????"
Ungekua unaweza usingesema unatamani kua kama kijana anayeweza...kubali tu kwamba sketi ikijileta kwako hata kama ni bibi kizee huwezi kuitolea nje!