Kuna mtu bado anatumia hiki kingamuzi...niliwahi kukitumia nikawa naangalia mipira yote kwa kulipa kila mwez 40000 ,lakini nilikiacha nikaaenda masomoni nimerud hakionyeshe sielewi tatizo ni nini kilikuwa poa sana. DSTV bei sana sisi wenye vipato vya kawaida hatumudu kulipia hizo laki
Msaada