Ni yale yale niliyosema awali!.Usomi wenu ni kazi bure,hauwafai wenyewe wala mwengine yeyote.
Serikali yenye vitega uchumi tele mpaka vyengine vinafanyiwa ufisadi ina haja gani ya kutumia vitu vya kanisa?.Ikifanya hivyo ni kwa kujuwa kuwa ni vyake.Si yenyewe ndiyo iliyotoa pesa kuvinunua na kuvianzisha!.
Afadhali waislamu tuna Ghadhafi,Saudia na wengineo.Hata ikiwa ni makombo waliyokula pamoja na Amerika,US na waroho wengine tukipewa tunapata pa kuhemea.Ha ! nyinyi wakristo nani atawaletea na Vatican hakuoti hata muhogo.
Ukiona vitu vya kanisa ni vingi basi ujuwe pamepita ujambazi mwingi kuvipata kama huo wa kunyan'ganya bila haya kutoka hazina za taifa.Hapa kwetu na kwa wenzetu.
Humo nimo "bold" tuko pamoja mkuu. Uislaam ni dini iliyokosa kufahamiwa sio na makafiri tu! hata waislam wenyewe, uislam huwezi kuutetea kwa maandamano. uislaam unataratibu zake za kuondoa matatizo katika jamii.na haya yanayo tokea leo duniani mbona Mtume Muhammad (s.a.w) alikwisha yatoloea maelezo, zitafika zama makafiri wataalikana kuwashambulia waislaam kama vile wanavyo alikana kula chakula kwenye shughuli. waislam hawakutakiwa kubabaika na hali hii, walitakiwa kurudi ktk muongozo alioutumia mtume wao ktk kuondoa matatizo. mtume Muhammad anakuja duniani yalikuwepo madola ya kidhalimu yenye nguvu na jeuri kama ilivyo kwa Amerika leo, Dola ya Rumi na Wafurs haya yaliokuwa ni madola yenye nguvu na jeuri, haya aliyasambaratisha na mengine yaliyobaki yaliitambua nidhamu ya kiislam na kuiheshimu. vikundi vya alqaida,alshabaab na vyenginevyo hivi vinakwenda kinyume na utaratibu wa uislamu ktk kutatua matatizo kwa mtazamo wa uislaam. waislam leo hii wakirudi ktk nidhamu yao sawasawa na kuishika njia ya mtume wao. Amerika na washirika wake watasambaratishwa na dunia itakuwa salama.Ndugu uache ushabiki wa simba na yanga. Nadhani wewe unapelekwa tu na upepo, huyo Saddam unayemsifia hujui historia yake? Hujui alikuwa kibaraka wa USA?
Ni Vizuri ukasoma na kuijua siasa ya kimataifa, huwezi kujua undani lakini kikubwa kwenye dunia hii hakuna na hakutakuwa na haki sawa, mwenye nguvu ataongoza siku zote. This time is USA, next may be China then Russia will come back wote watakuwa sawa na utawalaumu tena kama unavyolaumu USA.
Napenda pia kukupa angalizo, Japo mara nyingi waislam wanasema ndugu zetu waislam lakini kamwe hakuna usawa. Uislam wa UAE na wa Bongo ni tofauti kabisa, mimi nipata bahati angalau ya kutembelea hizi nchi ikiwamo Saudi ambayo ni source ya imani lakini wale ni tofauti kabisa, huwasikii kama wenzetu hapa bongo au nchi masikini...eti waislam wenzetu Libya etc....wao wana fight for their life, then mambo mengine yanakuja.
Kwa nini waislam wa Tanzania wasipigie kelele na kufanyia kazi matatizo ya nchi yetu? Mbona kuna waislam hapa nchini wananyanyasika na viongozi wetu, tena hata waislam wenzao, na sio USA? Kwa nini msiwanyooshee hao vidole kwanza ili maisha yetu yawe mazuri then tutakuwa na nguvu ya kutetea wengine walio mbali? Bila ya kuwa na Taifa lenye nguvu unafikiri tunaweza kubadili kitu chochote?
Shule gani hiyo unayozungumzia.Vichwa vyenu ni maji sana.Hata mkisomeshwa hamuelewi kitu.
Jambo lililopo hapa ni kuwa wakristo ni watu majambazi sana na waharibifu wasio na haya.Ni waongo na waporaji wa kimachomacho.
Zile nchi nyingi za kiarabu bado ziko kwenye ukoloni halisi wa Marekani,Ufaransa na Uiengereza kama tulivyo sisi hapa.
Ukisikia Qatar imeamua jambo ni uamuzi wa wenyewe wakristo wakoloni.
Kule ghuba watawala wa kweli wa nchi zao alikuwa Saddam,huyu Gaddafi na Ahmednejad.Wakimalizwa hao hukumu ya Mungu itaamua nani atawale.Tutaanza kuyaona Libya,Misri na Yemen.Ukoloni wa kikristo huko hautarudi tena.
Yani kila kitu lazima kuingiza udini? Hii inatia kichefu chefu sasa, umeambiwa uko Libya hakuna watu wa dini nyingine?Humo nimo "bold" tuko pamoja mkuu. Uislaam ni dini iliyokosa kufahamiwa sio na makafiri tu! hata waislam wenyewe, uislam huwezi kuutetea kwa maandamano. uislaam unataratibu zake za kuondoa matatizo katika jamii.na haya yanayo tokea leo duniani mbona Mtume Muhammad (s.a.w) alikwisha yatoloea maelezo, zitafika zama makafiri wataalikana kuwashambulia waislaam kama vile wanavyo alikana kula chakula kwenye shughuli. waislam hawakutakiwa kubabaika na hali hii, walitakiwa kurudi ktk muongozo alioutumia mtume wao ktk kuondoa matatizo. mtume Muhammad anakuja duniani yalikuwepo madola ya kidhalimu yenye nguvu na jeuri kama ilivyo kwa Amerika leo, Dola ya Rumi na Wafurs haya yaliokuwa ni madola yenye nguvu na jeuri, haya aliyasambaratisha na mengine yaliyobaki yaliitambua nidhamu ya kiislam na kuiheshimu. vikundi vya alqaida,alshabaab na vyenginevyo hivi vinakwenda kinyume na utaratibu wa uislamu ktk kutatua matatizo kwa mtazamo wa uislaam. waislam leo hii wakirudi ktk nidhamu yao sawasawa na kuishika njia ya mtume wao. Amerika na washirika wake watasambaratishwa na dunia itakuwa salama.
Libya haijavamiwa kwa sababu hakuna askari wa mataifa mengine kwenye ardhi yake isitoshe Resolution ya 1973 inakataza majeshi yoyote ardhini. Acha kupotosha jamii.You deserve to be the real great thinker sir-Na kinachonishangaza kwa wasioelewa ni kutokana na mifano hai ya Iraq, Afghanistan nk, walidai wanaenda kuweka democracy, hivi kweli wenzetu mnaoshabikia uvamizi huu hamuoni kinachotendeka iraq kwa sasa? Acheni roho mbaya ya nafsi, kama tunaitanguliza haki tuikemee japo kwa kuchukia kwa kile kinachooendelea libya kwa sababu hakuna sababu ya msingi. Na sikweli kwamba walibya ndio walioandamana kutomtaka gaddaf kwani hata baadhi ya waliokamatwa walikuwa hawajui kiarabu-fikiri kwa upeo wako si kwa upeo wa wenzako.
Yani kila kitu lazima kuingiza udini? Hii inatia kichefu chefu sasa, umeambiwa uko Libya hakuna watu wa dini nyingine?
Kiongozi wa nchi anaua watu wake systematically mnataka jumuiya ya kimataifa ikae kimya isiingilie kisa ni muislamu?
Ongezea HAMAS, Hizbollah, Taleban, Al Qaeda, FARC, Janjaweed, Abu Sayyaf etc etc wanaua.Kwani mkuu kosa la kuua linajalisha idadi au? Mbona Arusha jk kaua, Mbona Pemba Mkapa kaua, Mbona Waisrael wanaua, Mbona Wamarekani wanawaua Iraq, mbona gbabo anaua ivory coast, mbona bahrain wanauawa, mbona kwenye migodi yetu tunauawa-hebu niweke sawa katika haya then tuwe pamoja kutetea mauaji ya libya!
Libya haijavamiwa kwa sababu hakuna askari wa mataifa mengine kwenye ardhi yake isitoshe Resolution ya 1973 inakataza majeshi yoyote ardhini. Acha kupotosha jamii.
simamia vizuri kwa ulichokiandika, pale baharini hakuna vikosi vya kijeshi pale (au bahari siyo ardhi)? Pia hujaskia hata ya kuwa Vikosi vya ardhini vipo benghaz kwa kinachoitwa kuzuia mashambulizi ya askar watiifu wa gaddaf-jamani tusimamie kwenye haki ndo tutapata majibu-Ivi kweli kwa akili zako yale waliyofanya wanaompinga gaddaf ni maandamano au uasi, na haya ya arusha nini, na yale ya pemba nini-mbona watu wameuawa na hakuna "jumuiya ya kimataifa haikufanya lolote" au mi ndo sjaskia kwamba mkapa na jaykey wako the hague! fikiri kwa upeo wako usifikiri kwa upeo wa wenzako.
Sasa kama ushaconclude natumia upeo wa mwenzangu kufikiria unategemea nitakupa jibu utakalo kubaliana nalo?
Kabla hatujaenda mbali na kujaza bandwidth huu mgogoro wa Libya wewe umeanza kuufuatilia tangu lini?
Hayo ya mauaji ya Tanzania na Bahrain yaanzishie thread yake.
Kuhusu hili walimu wangu hawawezi kuwa na jibu la uhakika kuliko raisi wetu na walinzi wa hazina ya taifa.Juzi raisi aliposhiriki kusimikwa kwa askofu huko Dodoma alisema jumla ya sh.bilioni 112 zimeshalipwa kwa kanisa katika mwaka uliopita na nyengine zitaongezwa kwenye bajeti ijayo.Unadhani matatizo yetu yataondoka kwa ufisadi wa namna hii.
Edwaarad utakuwa wa maana kama utazungumzia mambo unayoyaelewa vizuri.Hili la lini mfumo kristo utaondoka bora kaa kimya tu.Muhimu ni kwamba waislamu wa Tanzania hawakulala kama wenzako walivyoashiria.Wanaona ya Libya,Yemen na hata Afghanistan ni kitu kimoja na ya kwao.
Yani kila kitu lazima kuingiza udini? Hii inatia kichefu chefu sasa, umeambiwa uko Libya hakuna watu wa dini nyingine?
Kiongozi wa nchi anaua watu wake systematically mnataka jumuiya ya kimataifa ikae kimya isiingilie kisa ni muislamu?
Hizo grad missiles zinazorushwa kutokea gaza strip zimetengenezwa kwa mawe?
Kwanza unatakiwa kufahamu Israel ni nchi kihalali kabsa-na kulingana na imani yangu pia israel ni nchi(soma Joshua 1.1-18)na kwa sababu hii ndo maana hakuna nchi inayomlaumu israel-hao wanamtupia lawama hawajui historia vizur-wapalestina si kwao pale-
Pili-wamerekani wanahangaika na waarabu-si uislamu-sema imetokea idadi kubwa ya waarabu ni waslam-lakini si kwamba wanadili na uslamu-mbona zaman marekani walikuwa wakipgana na vietnam,korea n.k ambao weng ni wa budha-so uantaka tuseme walikuwa wanapigana na ubudha?
Thubutu hata hao Wanaojiita Wanzanzibar they dont consider as africans, eti wanajiita waarabu...But do they consider themselves Africans?
Hamia Libya basi utuachie nchi yetu ya africa...walijifanya wao ni waarabu yalipowajia shingoni wakajua ni waafrica.......... unajua gharama ya TOMAHAWK (kombora) moja !? .......... hayo yote yanafanywa kwa mapenzi juu ya Walibya ? .......... wacha kuuliza maswali kibwege !:tongue:
Nashangaa kwetu ufisadi, mauaji, utawala wa kibabe,Dowans, Loliondo,Epa, Power tiller, Jamaa hawaandamani leo wanaandamana sababu ya Libya! Kweli kusoma siyo kuhudhuria darasani, mambo mengine ni ya asili! Tupeane pole
ionUmenena! Mimi yangu macho, na Serikali yetu ilivyo ya ajabu utaona, itatoa kibali cha maandamano hayo pasipo kuona kwamba hilo ni bonge la aibu! Nchi hii ina vtuko jamani! Nchi za kiarabu hazijaandamana lakini sisi mh!!! Hatuna kazi tumechoka kukaa vijiweni na kunywa Ghahawa na Kashata!! Kweli Kikwete ana watu wa kujivunia Kimataifa! Kumbe ndo maana haachi kusafiri! Anajivunia watu wa namna hii kuliko hata Tanzanite na Mbuga za wanyama:
Nimechoka:
You deserve to be the real great thinker sir-Na kinachonishangaza kwa wasioelewa ni kutokana na mifano hai ya Iraq, Afghanistan nk, walidai wanaenda kuweka democracy, hivi kweli wenzetu mnaoshabikia uvamizi huu hamuoni kinachotendeka iraq kwa sasa? Acheni roho mbaya ya nafsi, kama tunaitanguliza haki tuikemee japo kwa kuchukia kwa kile kinachooendelea libya kwa sababu hakuna sababu ya msingi. Na sikweli kwamba walibya ndio walioandamana kutomtaka gaddaf kwani hata baadhi ya waliokamatwa walikuwa hawajui kiarabu-fikiri kwa upeo wako si kwa upeo wa wenzako.