Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,182
- 918
Alipata isolated incident. Hii huwa inatokea kama ndege iliyopangiwa route inakuwa ina matatizo mnaletewa ya dharura...na huwa wanasema.
Nilipanda Boeing 777 ya Qatar kutoka JFK mpaka Doha dah! Siti pana, ndani kuzuri, entertainment safi na chakula cha kueleweka. Hata mimi ukiniambia nichague nitachagua KLM na Qatar always japo na wengine akina BA wapo....
By the way, mashirika ya ndege ya Kimarekani niliyowahi kupanda - Delta, United, NWestern, American...yote hayafai. Viti vimerundikwa, huduma mbovu ikiwemo chakula. Haya kama mtu una vihela afadhali hukoo Business class kama una lisafari lirefu!
Nasubiri siku nikipanda ndege za mashirika ya Asia - Indonesian Airlines, Thai, Korean, Malaysian, Japanese....nasikia wao wako level nyingine kwenye design na hospitality...