Qatar Airways interview venue

Qatar Airways interview venue

njanoj17

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
25
Reaction score
2
Habarini za kazi wakuu katika jamvi!

Naombeni mnisaidie kwa hili, nimepigiwa simu kuitwa kwenye Interview Qatar Airways....mimi ni mgeni Dar na sijui ofisi zao ziliko naombeni mwenye kujua anielekeze tafadhali...!!
 
jariku kuipigia namba iliyokupa maelekezo uwaulize watakupa msaada mzuri,then wakati wanakupigia lazima walikwambia ni wapi uenede na muda,siku ni lini
 
Asante mkuu, nitafanya ivyo...maana waliniambia ni Diamond Plaza, na ni Jumanne nahitajika kufika, mimi ni mgeni kabisaa huko, nahitaji kujua nitafikaje kwa hizo Ofisi zao mkuu!!
 
Fika posta mpya...ulzia jengo la ktega uchumi lpo wap.... dimond plaza lpo oposte na kitega uchumi...hop umenpata mkuu
 
Asante mkuu, nitafanya ivyo...maana waliniambia ni Diamond Plaza, na ni Jumanne nahitajika kufika, mimi ni mgeni kabisaa huko, nahitaji kujua nitafikaje kwa hizo Ofisi zao mkuu!!

[h=2]Dar Es Salaam - Dar es salaam[/h]

[TD="class: bold, width: 25%"]Address[/TD]
[TD="class: bold, width: 75%"]Dar Es Salaam[/TD]

[TD="width: 25%"] [/TD]
[TD="width: 75%"]Diamond Plaza, 4th floor[/TD]

[TD="width: 25%"] [/TD]
[TD="width: 75%"]Samora Avenue and Mirambo Street Junction[/TD]

[TD="width: 25%"] [/TD]
[TD="width: 75%"]Dar es salaam, Tanzania[/TD]


[TD="class: bold, width: 25%"]Opening Hours[/TD]
[TD="class: bold, width: 75%"]Monday to Friday from 08.30am - 05.00pm, Saturday from 08.30am -01.00pm, Sundays closed.[/TD]

[TD="class: bold, width: 25%"]Other Telephone:[/TD]
[TD="width: 75%"]+255 22 2198301-302-303-305[/TD]

[TD="class: bold, width: 25%"]Fax:[/TD]
[TD="width: 75%"]+ 255 22 2127400[/TD]

@@@@@

Pia ungesema upo wapi mjini dar yaani utakuwa unatokea wapi kwenda huko mjini ili iwe rahisi kuelekezwa na usafiri gani utakuwa bora...usiseme muda wako wa interview humu wala saa, walaa saa ngapi utatoka ulipo kwend

wewe sema tu unatoke wapi ushauriwe....juu hapo nimekutumia anuani...so fika samora avenue mjini kabisa then fatilia anuani na uliza ingia ndani kwa wenye maduka usiulize wa barabarani.

Goodluck
 
Asante saaana MZURIMIE kwa kunipa maelekezo, nadhani kwa kufuata hayo sintoshindwa kufika kwa muda muafaka....nitatokea KIMARA na kuelekea huko, lakini hadi hapo kwa hiyo anwani nahisi inatosha mkuu...ubarikiwe saana na Mungu
 
Fika posta mpya...ulzia jengo la ktega uchumi lpo wap.... dimond plaza lpo oposte na kitega uchumi...hop umenpata mkuu


Asante saana kwa hilo FEMUR, nimeshafika hadi hapo kwa maelezo yenu wanajamvi
 
Hi njano habari yako, mi pia nimeitwa kwa hiyo interview tupeane mawasiliano ili tuweze kupata update vizuri.
 
Back
Top Bottom