Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 1,590
- 2,088
There is no fast money guys eti unapanda mil 5 just like that then in 6 weeks unapata mil 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unavyo peleka hiyo milioni tano hukuwashirikisha polisi?Nimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
Ataanzaje kuwaambia polisi wakati wamempa elimu ya kupata mil 10 ya faida!!!!
Ila haya ndio waliyo yaongea viongozi wa dini jana,hakuna chakura cha bure katika dunia hii.Ataanzaje kuwaambia polisi wakati wamempa elimu ya kupata mil 10 ya faida!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wew 5M kuna mama kapigwa 15M hapa mwanza, alidanganywa akawaunga wanae wawili, kuna jamaa mwingine kaingizwa mkenge akakopa leo hii anauza nyumba yakeNimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
Hata me najiulizaga hili swali hawa wapuuzi mtu nuwezo w kupata hadi 4,5 au 8 millions Hugo ni mtu anez anzisha business yoyote ya maanaHalafu wajinga sijui huwa wanapataje pesa za kuchezea?
Habari mkuu, sasahiv shemeji anaizungumziaje Q Net? Amesalimika?Mimi mwengewe wife kapigwa 5m. Akanishawishi na mimi kuingia. Nilishtuka mapema sana na nilileta hapa uzi kuhusu hii biashara. Ila mods baadae waliiondoa nadhani kwakuwa kulijitokeza maneno makali kwenye ule uzi
Mpaka sasa wife anaamini yupo sahihi. Na akiona nyuzi hizi anasema sisi hatuielewi qnet.
Mkuu, nina 1.5M nisaidie wanirejeshee pesa zangu. Natanguliza shukrani.mkuu.. oa mke mwenye akili. uwe na mashemeji wenye akili pia. ni wendawazimu kabisa kufikiria unaweza weka MIl 8 ukaja ukapata Bil hata 1 kwa mwaka. hizi ni hesabu za wapi? unless otherwise hii iwe ni story tu. ila kama ni kweli wewe hukufanya vizuri baada ya kukukosa wewe kwa nini huku share na mkeo? na kwa nini mkeo hakuamua kuwa smart upstairs? hizi hesabu zingekuwa hivyo unadhani mo dewj au mengi si wangekuwa wanadumbukiza huko mamilion ya pesa wanaenda kuvuna?
hapo mnawaonea tu QNET tatizo liko kwa watanzania wenyewe... wacheni QNET wajipigie pesa bwana.wewe usukuma wako unawahusu nini wao? kama usukuma wako haukukusaidia kutapeliwa hautakusaidia kurudisha pesa... hesabuni tu maumivu. ila kama unataka zirudi mi nina njia ya kuzifanya zirudi ikiwa utanipatia mil 2 tu. zinarudi hata kesho haifiki. ndani ya masaa 24 watazirudisha huku wakikulazimisha uzichukue hata kama hutaki. nitumie hiyo mil 2 halafu nipe masaa 24 tu.
wewe,mke wako na shemeji yako wote ni wajinga tu.Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Mwizi mwingine na tapeli ni huyu Unga Unga, huyu hata elfu ishirini anatapeli.Hii nchi imejaa wapumbavu! yaani ununue saa mil.8 baada ya mwaka unapata bil 1.3! uliona dunia ya wapi biashara ya hivyo! aisee! utapeli kumbe ni kazi kama kazi zingine! tena inalipa kweli kweli,maana majinga kumbe yanaongezeka bado!
Ushauri wangu ni kwamba kabka hujaanza na qnet anza na mke wako.Qnet naomba muwe waungwana mlimshawishi mke wangu na shemeji watoe milioni 8 ambayo walinunua saa mkasema baada ya miezi 13 watapata bilioni 3.3, mbaya zaidi mkamwambia don't share the information. Yaani mnafanya siri mazungumzo, hela mke katoa lakini mnamzungusha sijui mnasema apeleke mtu mwingine tena ndo alipwe, nyie ni matapeli wakubwa na kesi iko police.
Nawapa onyo mkinishinda mahakamani naenda Gamboshi kuwaroga, nyie watu wa ajabu mlianza kwangu baada ya kunipiga porojo zenu nikawashitukia mkamdanganya mke na shemeji na hii njia yenu kutusalimia good morning hata jioni nahisi ndo njia ya kuwapumbaza watu, nawaambia io hela mtaitoa, mama yangu msukuma.
Mkuu Da Don, mama pia ana makosa makubwa sana katika hili. Hamna communication?Walimpumbaza kwa kumwambia iwe siri na asimwambie mtu yoyote, wanajua akimshirikisha tu mtu basi atamgutusha.
Kasome.msamiati wa 'Brain washing' halafu jijibu mwenyeweMkuu Da Don, mama pia ana makosa makubwa sana katika hili. Hamna communication?
Yaani anaambiwa usimuambie mtu ni siri...anakubali kufanya siri na mtu wa nje ya familia hata dhidi ya mumewe ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili wazo lako nadhani uwape ndugu zako, kuanzia wazazi mpaka mke, dada, kaka, nk. Ili mpate hizo faida unazoahidi.usilalamike kijana qnet iko poa sema ina hitaji mda sana na wateja wa mara kwa mara kama umetoa pesa halafu unakaa nyumbani usitegeme kuwa utapata cha msingi tafuta mwenzako na yeye atoe milioni tano ili upate commision