kwani" hao wengine sio ma genius" wayne wamuonaje""? ..issue ni kwamba maisha", yanAsimamiwa na wakati" so wakati wako ukishaisha'" huwa kinakuja" kizazi kingine", nakufnya vyema " kwenye tasnia fulani"... JAY wakati wake umesha pita""Ila anaendelea kuongelewa sana na media kwa sabbu" ana akili ya utafutaji" alijiongeza aka invest haswaa"", then anayatumia " mahusiano yke na Be " kibiashara... kinyume na hapo " tungekuw tumeshamsahau ""