Mafua ya kuku
Member
- May 31, 2019
- 92
- 76
Hata na mimi natafuta mkuu mwalimu akipatkana nijulishe tuungane
Kuna channels za Telegram za beginner unaweza kuanza taratibu kujifunza, lakini kuna language nyingine yoyote unaijua tofauti na hii unayoitaka maana ni too tough
issue sio Python, issue ni Statistics, lazima uwe nondo aisee la sivyo utaishia kwa 'web scraping/data entry' na Python yako (joking ila ni ukweli)
lazima uwe deep/nondo kwa Statistics( na Probability yake), Linear Algebra, Calculus ( tena kwa undani)
Nashauri ujifunze java kwanza au language nyingine yoyote Python ngumu sana ayseeYani ningepeta na mtu wa kuni coach physically ingekuwa fresh sana..
Nashauri ujifunze java kwanza au language nyingine yoyote Python ngumu sana aysee
Aaaah mkuu itampiga chini mapema sana ni kheri akaanza na java, tena java anaweza kuji train mwenyewe tuPython ndiyo rahisi
Now I understand kwanini kwenye ofisi ya HoD kulikua na karatasi limeandikwa "Life is too short, You need PYTHON "
labda nikusaidie tu, Python sio ngumu ila ina tumia kitu kinaitwa Libraries kufanya maajabu, Izi Libraries zimetofautiana kulingana na kazi husika mm natumia Tensorflow kwenye AI vitu kama Image-to-text, taxt-to-image au chatboot simple tu. Pia ng'eli ng'eli mkuu kama ngeli haipandi itakua changamoto Pia soma data structure & Algorithm alafu tumia jupiter notebook(anaconda) kujifunza alafu kuna IDE moja inaitwa PYCHARM PRO(kwangu mm ndo best kwa py) au KOMONDO au MVS kudevelop systeam. jua tu maajabu ya python yapo kwenye libraries
Nashauri ujifunze java kwanza au language nyingine yoyote Python ngumu sana aysee
Napita tuu wakuu.
Nahisi ndio sahihi sana maana mitaala karibu ya vyuo vyote programming language wanaanzia na C kama basic language then ndio wanaendelea na language nyingine so naona ukianza na hiyo unapata basic ya language nyingine na inakurahisishia kuzisoma vizuri!Kuna mtu amenishahuri nianze na C , hii imekaaje wataalamu..
Hahaha kaka python ni rahisi ukishaijua java au C kama ulivyoambiwa.Shida yangu ni Data science na Machine learning, sasa Java itafaa kweli. Mkuu