Putin tells Americans vote Trump or face nuclear war

Putin tells Americans vote Trump or face nuclear war

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Putin amewaweka wamarekani pabaya mno .wikileak huko kumekucha ,Wikipedia ya clintons hacked ,na ameshaanza kuweka majeshi Cuba .FBI wanasema machine za kura zinaonyesha dalili ya kuchezewa.Trump alikuwa rafiki mkubwa wa Ghaddafi na Putin .Aisee sikuwahi fikiria kunasiku mmarekani ataendeshwa mputa .Trump balaaaaaa na kazi ipo
 
The world's most powerful people
#1
Vladimir Putin (64)
-Russia


#2
Angela Merkel (62)
-Germany


#3
Barack Obama (55)
-United States


#4
Pope Francis (79)
-Roman catholic church


#5
Xi Jinping (63)
-China


Trump akishinda urais huyo mwanamama lazima ampishe hiyo nafasi ya pili



pixel
 
Putin aache uwoga anachoogopa toka kwa yule mwanamke ni kitu gan hasa!!
 
The world's most powerful people
#1
Vladimir Putin (64)
-Russia


#2
Angela Merkel (62)
-Germany


#3
Barack Obama (55)
-United States


#4
Pope Francis (79)
-Roman catholic church


#5
Xi Jinping (63)
-China


Trump akishinda urais huyo mwanamama lazima ampishe hiyo nafasi ya pili



pixel
Umesahau kim, wa korea kasikazin
 
Mtoa mada umeandika kama unakimbizwa weka audio basi
 
Putin amewaweka wamarekani pabaya mno .wikileak huko kumekucha ,Wikipedia ya clintons hacked ,na ameshaanza kuweka majeshi Cuba .FBI wanasema machine za kura zinaonyesha dalili ya kuchezewa.Trump alikuwa rafiki mkubwa wa Ghaddafi na Putin .Aisee sikuwahi fikiria kunasiku mmarekani ataendeshwa mputa .Trump balaaaaaa na kazi ipo
Mkuu ukweli mchungu ni kuwa Trump anashindwa vibaya mno huu uchaguzi kwa njia yeyote .

Urafiki wake na Putin hautasaidia kitu...

Yaani wamarekani watishiwe nyau?

Putin ni uoga tu Kwani anajua kabisa huyo mama akishinda lile bomba la gesi itabidi lipite kwa asad

Putin awaache wa marekani wafanye mambo yao....

Trump mpaka ameuza majengo yake kuwekeza kwenye uchaguzi kama hatofirisika nayaona yakimkuta kama yaliyomkuta lowassa mwaka Jana ...

Kauli zake ndizo zimemponza wala hatakiwi kumulaumu mtu yeyote ...

Kama isingekuwa kauli alikuwa ameshashinda mapema sana...

Stay watched
 
Mkuu ukweli mchungu ni kuwa Trump anashindwa vibaya mno huu uchaguzi kwa njia yeyote .

Urafiki wake na Putin hautasaidia kitu...

Yaani wamarekani watishiwe nyau?

Putin ni uoga tu Kwani anajua kabisa huyo mama akishinda lile bomba la gesi itabidi lipite kwa asad

Putin awaache wa marekani wafanye mambo yao....

Trump mpaka ameuza majengo yake kuwekeza kwenye uchaguzi kama hatofirisika nayaona yakimkuta kama yaliyomkuta lowassa mwaka Jana ...

Kauli zake ndizo zimemponza wala hatakiwi kumulaumu mtu yeyote ...

Kama isingekuwa kauli alikuwa ameshashinda mapema sana...

Stay watched
Viroba sio Maji Mkuu
 
Putin hajafikia kilele cha upumbavu kama huo kutamka maneno hayo.
Weka chanzo cha habari yako
 
Putin anajua kuwa Hillary Clinton ataboresha zaidi uhusiano na Nchi za Ulaya na Dunia kwa ujumla hivyo anatamani Trump ashinde ili yeye aendelee kujenga nguvu yake Duniani, Trump atavunja uhusiano na marafiki wakubwa wa Marekani ambao ndio wanaifanya Marekani kuwa Super Power.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom