mkimbili manyovu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 335
- 371
Is this real? Putin infront of this world economy under Rothschild Money Regime, perhaps.
Wewe unajua huo mfumo ukoje...?tatizo umeishiaa la pili haujui mfumo wa dunia ukoje
Kwani mfumo ukoje. Hamna kitu kinaitwa NWO, ni sawa sawa na stori za wanyonya damu.tatizo umeishiaa la pili haujui mfumo wa dunia ukoje
Ukizingatia putin mwenyewe kiasili inasemekana ni myahudi kilichokuwa kinasumbua kumjumuisha ktk familia hiyo pamoja na ile Rockfeller uumini wake wa kanisa la Othodox....ikumbukwe mpinzania mkuu wa jewish faith ni wa Othodox....kanisa hili lina nguvu sana Urusi...kama ni kweli basi the new world order iko jirani sana...putin na marekani ni wale wale tu na wanashare the same purpose hivyo maneno yote hayo ni kuwin trust for their own advantage......n.w.o ni ngumu kuzuia
si walipewa miaka 1000 kutawala dunia??
Twende katika lugha ya kihisabati. Orthodox ni kanisa dada na kanisa la rumi. So Orthodox is equivalent to Catholic Church. Jewish faith is a daughter of Catholics hence they're similar. So Orthodox = Jewish but < catholics.Ukizingatia putin mwenyewe kiasili inasemekana ni myahudi kilichokuwa kinasumbua kumjumuisha ktk familia hiyo pamoja na ile Rockfeller uumini wake wa kanisa la Othodox....ikumbukwe mpinzania mkuu wa jewish faith ni wa Othodox....kanisa hili lina nguvu sana Urusi...kama ni kweli basi the new world order iko jirani sana...
Putin ni well experienced Kachero anajua anachokifanya.
Mwisho wa capitalism karibu sana.