SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
- Thread starter
- #21
We ulitaka asemeje?Hii hotuba ni ya Putin kweli? Mbona haina content?
Madikiteta wanakuwaga na vichwa akili zao wanazijua wenyewe.....kwao nguvu tu ndio kubwa kuliko akili.
Anaongelea matatizo ya Nchi nyingine isiyomhusu? Malalamiko ya nini sasa? Anatafuta huruma? Kwani nani kamuulize hayo?


