Putin atoa hotuba nzito leo Moscow

Putin atoa hotuba nzito leo Moscow

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,117
Reaction score
8,094
Katika hotuba hiyo aliyoitoa leo alipokutana na members of the public chamber of Russia, Mr. Putin alisema mazito yafuatayo;

1. Taifa la Ukraine liliasisiwa kutokana sheria za iliyokuwa USSR, ambapo ilikuwa ni sehemu ya kusini ya ardhi ya Urusi.

2. Serikali ya Ukraine ilikuwa inafanya mauaji ya kukusudia dhidi raia wake wenyewe wenye asili ya urusi waishio katika majimbo ya Crimea, Donbass, na Novorossiya kwa muda mrefu ili kuwafurshisha mabwana zao wa Magharibi.

3.Jambo lililopelekea Urusi kuivamia ili kuyakomboa maeneo hayo.

4 . Serikali ya Zelensky imekuwa ikiuza kimagendo silaha za misaada kutoka mataifa ya magharibi kwa nchi za Mashariki ya Kati, ikiwemo kikundi cha kigadi cha Taliban kinacholiongoza taifa la Afghanistan kwa sasa.

5. Rushwa ni tatizo kubwa mno lililokithiri Ukraine kiasi cha kufikia hataua ya kuonekana kuhalaishwa na Serikali ya Zelensky, jambo ambalo hata Nchi za magharibi zinalijiua lakini hawawezi hata wao hawana uwezo wa kulitatua. Hali hiyo imepelekea Marekani kusuka mpango wa kufikiria kubadilisha utawala wa Ukraine.

6. Mwisho kabisa, Putin alisema, (naomba nimnukuu kama ifuatavyo);
"The West used to want to "defeat Russia on the battlefield", but now they are talking differently.".

Chanzo: Reuters, Al Jazeera

Screenshot_2023-11-03-18-47-10-673_com.android.chrome.jpg
 
Sasa bana Putin tukusaidie je?

Maana mengi ya uliyosema hapa ni kama unalalamika.

Jeshi lako la kukodi la Wegner lilikusitiri madhaifu yako ila kosa lako umemuua mkuu wao aliyekuwa mshirika wako wa karibu katika uhalifu wa kivita.

Sasa hivi mamluki wa Wagner hawakuamini tena na ukizingatia kuwa magenerali wako wanayowaza vichwani mwao kukuhusu juu ya vita vya Ukraine ni siri nzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hotuba hiyo aliyoitoa leo alipokutana na members of the public chamber of Russia, Mr. Putin alisema mazito yafuatayo;

1. Taifa la Ukraine liliasisiwa kutokana sheria za iliyokuwa USSR, ambapo ilikuwa ni sehemu ya kusini ya ardhi ya Urusi.

2. Serikali ya Ukraine ilikuwa inafanya mauaji ya kukusudia dhidi raia wake wenyewe wenye asili ya urusi waishio katika majimbo ya Crimea, Donbass, na Novorossiya kwa muda mrefu ili kuwafurshisha mabwana zao wa Magharibi.

3.Jambo lililopelekea Urusi kuivamia ili kuyakomboa maeneo hayo.

4 . Serikali ya Zelensky imekuwa ikiuza kimagendo silaha za misaada kutoka mataifa ya magharibi kwa nchi za Mashariki ya Kati, ikiwemo kikundi cha kigadi cha Taliban kinacholiongoza taifa la Afghanistan kwa sasa.

5. Rushwa ni tatizo kubwa mno lililokithiri Ukraine kiasi cha kufikia hataua ya kuonekana kuhalaishwa na Serikali ya Zelensky, jambo ambalo hata Nchi za magharibi zinalijiua lakini hawawezi hata wao hawana uwezo wa kulitatua. Hali hiyo imepelekea Marekani kusuka mpango wa kufikiria kubadilisha utawala wa Ukraine.

6. Mwisho kabisa, Putin alisema, (naomba nimnukuu kama ifuatavyo);
"The West used to want to "defeat Russia on the battlefield", but now they are talking differently.".

Chanzo: Reuters, Al Jazeera

View attachment 2802715
Hii hotuba ni ya Putin kweli? Mbona haina content?

Madikiteta wanakuwaga na vichwa akili zao wanazijua wenyewe.....kwao nguvu tu ndio kubwa kuliko akili.

Anaongelea matatizo ya Nchi nyingine isiyomhusu? Malalamiko ya nini sasa? Anatafuta huruma? Kwani nani kamuulize hayo?
 
Zelenksyy na Putin lao ni moja, Mmarekani alivamia mtumbwi wa vibwengo.
Sidhani mkuu. Nachojua Zelensky na US lao ndio moja maana ndio waliomuweka madarakani.
 
Back
Top Bottom