mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,487
- 4,972
Marekan anajipendekeza tu, kwani kalazimishwa?Mimi sio kobazi Mimi Rc pure.
But Hakuna Israel bila marekani labda uwe mjinga tu ndo utaamini hilo
Asisahau mara kadhaa Zelenski huwa anabip ndani ya Urusi.Putin aridhia kuinga mkono Iran
Kweli kabisa Israel haina cha kupoteza ndio maana imealeta vurugu nyingi Mashariki ya Kati kwa sababu gharana za vita analipa Marekani. Israel kama Israel haiwezi kusimama yenyewe kwenye hii migogoro. Marekani wanatoa silaha za kila aina, wanatoa intelligence, wanailinda Israel, wanatoa msaada wa kiuchumi ndio maana Israel inakuwa na kiburi kiasi hiki. Hakuna taifa duniani linapokea misaada kama Israel. Wengi wanaleta ushabiki na itikadi za kiimani kuwa Israel ni taifa teule, eti Israel imezungukwa na maadui bila kufikiri kuwa Mataifa yote ya kiarabu ni vibaraka wa Marekani na yanatekeleza maslahi ya Marekani na Israel.Mimi sio kobazi Mimi Rc pure.
But Hakuna Israel bila marekani labda uwe mjinga tu ndo utaamini hilo
Mimi kwenye vita sinaga ushabiki mkuu.Marekan anajipendekeza tu, kwani kalazimishwa?
Hata hivyo, walioniaminisha kuhusu uwezo wa Iran walisema pia, Irani inaweza kuichapa USA bila tabu, ngoja tuone
Ukraine tu ulimi nje
Israel hana jeuri ya kutungua ndege za urusi, na akifanya hivyo ameisha na yeye anajua hilo. Trump hayupo tayari kuingiza dunia kwenye WW3 so Israel akijiingiza mkenge atamuacha hewani..Kwanza Iran haikumpa silaha urusi ila urusi alinunua toka Iran
Pili urusi urusi imesema inatarajia kumpatia Iran silaha, Kwa kauli hii urusi inathibitisha kuwa Iran imepungukiwa na silaha ndiyo maana anaomba Msaada
Tatu anachofanya Israel sasa hivi NI kumiliki anga na kuhakikisha hampi nafasi ya Irani kurusha makombora, Irani inaweza ikarusha kombora ila Israel inahakikisha hiyo launcher inaangamizwa
Sasa Kwa Hali ya sasa ama makombora yameangamizwa Kwa Kiasi kikubwa au launcher zimeangamizwa au vyote viwili
Wasiwasi wangu NI Iran inaweza ikapewa silaha lakini kipengele cha kuzifikisha battlefield hizo silaha ndiyo kigumu zaidi hasa ukizingatia Israel ana mamluki wengi ndani ya iran
Vita ipi? Dhidi ya vikundi tu hapo hajapigana na jeshi la nchi yoyote zaidi ya Iran tu tena kwa msaada wa USA ila battle ground hawezi ingiza mguu Iran na kushinda vita. Ataishia kurusha ndege na kulipua tu ila ground forces hazina uwezo wa kupambana na Iran.Aliyeniamisha eti Iran ni A strong military country to exceed the USA.......?
Mtaniambia nini Mashekhe zangu leo, Kanchi kadoogo kaliko kwenye mfurulizo wa vita sasa karibu mwaka, kanamsurubisha Iran?
hana akili uyo ni mwehu iran anapambana na marekani ila kupitia mgongo wa israel ipo wazi mashekhe wengi kibongo bongo akili zetu tunawaza ubwabwa na kwenda ku hiji maka pumbavuuWewe kweli akili imejaa machichaa ya pombe
Hivi Kuna Israel bila marekani? Akili Gani hii?
Juu ni kwanini waislamu hudanganywa kiwepesi sana. Putin na Netanyahu ni umoja.Si ndiyo huyu aliyeiomba Israel iangalie usalama wa wataalam wake 200 walioko Iran na Israel akasema atazingatia Hilo. Tusubiri maana Kama msaada alitakiwa kuutoa Kama mambo hayajaharibika. Na ndiyo yeye alisema Iran walikataa ulinzi wa anga aliyotaka kuuweka