Pure german shepherd puppies

bwegebwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2010
Posts
1,072
Reaction score
189
Wadau!

Kwa anayependa kuweka oda, nina 4 Puppies (100% PURE GERMAN SHEPHERD PUPPIES), wote madume ndiyo kwanza wamezaliwa ila kwa anayehitaji anitumie PM; watakuwa tayari kutolewa baada ya wiki 6!

Kama unapenda wasiliana na mimi kwa PM

BEI NI 500,000/=


 
Weka picha ya wazazi.

anasema ndo wamezaliwa picha si itakuwa ya vitoto vya panya,jamaa nj .a a sana huyu mbwa kazaa tu kashaweka bango uenda ikawa huyu ni shanta tu kasikia kwa jirani mbwa kazaa anatega.kuwa na subra adi wafkishe miez wiki 10 adi 15 wanyonye na wapewe chanjo ya magonjwa ya mbwa wadogo.
 
Jamani anayeona nina njaa sawa, maybe ninayo kweli, mwanaume hafichi shida, ndio dunia ilivyo!

Angalizo: Nauza mbwa kwa anyehitaji na anayeweza kutunza mbwa! Wazazi ni Pure GS, kwa anayehitaji awasiliane na mimi through PM, bei ni Ths. 500,000/=. Kama wewe si mhitaji waache wanaohitaji watafute.
Kwa anayehitaji picha za wazazi ningeshauri uje uone Mbwa wenyewe ujiridhishe!

Asante
 

Asante kwa ushauri: Kama ni mzoefu wa kufuga mbwa utakubaliana nami kuwa ukitunza vizuri mbwa (wazazi na puppies) baada ya wiki 6 - 8 puppies wanaweza kuanza kujitegemea. Mbwa wamezaliwa 6, wa-2 nabaki nao mwenyewe, the rest nawatoa kwa anayehitaji, kutangaza mapema inakusaidia kuplan na mnunuzi/mhitaji lini atakuwa tayari kuwachukua na namna gani umsaidie....kwa mfano kumbuka ninapotengeneza kadi za chanjo lazima nihakikishe details za potential owner zipo correct....ndiyo namna tunavyofanya wafugaji tunaofuata masharti! Mbwa ni sehemu ya familia, hutoi tu mbwa kwa nia ya kupata fedha, kila mfuh=gaji wa mbwa angependa kuona mbwa anakwenda kwenye familia itakayomjali.....
 
daah so kama mimi naenda kumtelekeza vijijini kula mizoga ya kuku huko hunipi? regadless ninayo laki tano?
 
daah so kama mimi naenda kumtelekeza vijijini kula mizoga ya kuku huko hunipi? regadless ninayo laki tano?

Smile, lets be serious! Its not only about money......
 
Weka picha Za wazazi, watu wengi wanasema wana pure kumbe cross. Wengi hamjui pure anakuwaje, ukiona masikio yamesimama tu basi ndio maana tunataka picha ya wazazi ili usitusumbue bure.
 
Mkuu weka picha za wazazi,pia bei ipo juu kichiz!puppies wanauzwaga laki 3,ukipunguza unauza laki 2 na nusu s mbaya!yanh mkuu unauza bei mbaya utadhani Gold!bei hiyo ni ya trained Pure GS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…