Public transport ( Kinshasa vs Nairobi Vs Dar Es salaam)

Hayo mabasi ya mwendo kasi ukiyaona kwa video za kwenye Youtube au mapicha yanatamanisha na kupendeza, ila sasa wahoji wakaazi wa Dar wanao yategemea ndio upate mziki wa kero zake.

Kwa uzoefu wangu wa kuishi miji yote miwili tena kwa muda mrefu, yaani tu pamoja na kero za matatu/daladala zetu hapa Nairobi ila zipo nafuu kwa mbali sana ukilinganisha na kero za Dar.
 
Hayo mabasi ya mwendo kasi ukiyaona kwa video za kwenye Youtube au mapicha yanatamanisha na kupendeza, ila sasa wahoji wakaazi wa Dar wanao yategemea ndio upate mziki wa kero zake.
Kwa uzoefu wangu wa kuishi miji yote miwili tena kwa muda mrefu, yaani tu pamoja na kero za matatu/daladala zetu hapa Nairobi ila zipo nafuu kwa mbali sana ukilinganisha na kero za Dar.
Endelea kuishi ndoto zako
 
Mie ni mkenya lakini matatu ni UCHAFU UCHAFU UCHAFU.

Ipo siku tutanusurika na hili janga na uchafu.

Nimeitembelea Dubai, Saudi Arabia, Cairo, Kuwait City, Doha hata Baghdad wala hamna machafuko na uchafu huu unaoitwa matatu.
So ghettoish so classless, big international cities should have clean, quiet, orderly, uniformly and timely transportation.

Kwa kweli huwa sizipendi hizi, graffiti, kelele, touts, reckless driving. Hizi ziruhusiwe kule ghetto sijui Kariobangi zisije katikati mwa jiji abadan.

Imagine Uperhill sijui Westlands business district na ughetto kama huu wapi na wapi?

Jamani wakenya tuache kusifia uchafu na macahafuko kama haya,inaelekea akili zetu zipo na kasoro.
 
Mie ni mkenya lakini matatu ni UCHAFU UCHAFU UCHAFU.

Ipo siku tutanusurika na hili janga na uchafu.

Nimeitembelea Dubai, Saudi Arabia, Cairo, Kuwait City, Doha hata Baghdad wala hamna machafuko na uchafu huu unaoitwa matatu.
So ghettoish so classless, big international cities should have clean, quiet, orderly, uniformly and timely transportation.

Kwa kweli huwa sizipendi hizi, graffiti, kelele, touts, reckless driving. Hizi ziruhusiwe kule ghetto sijui Kariobangi zisije katikati mwa jiji abadan.

Imagine Uperhill sijui Westlands business district na ughetto kama huu wapi na wapi?

Jamani wakenya tuache kusifia uchafu na macahafuko kama haya,inaelekea akili zetu zipo na kasoro.

Unajua Kenya ni nchi ya kibepari, kila muwekezaji ana uhuru wa kupamba matatu zake atakavyo, inategemea wewe mkaazi wa maeneo gani, kwka mfano kwetu huku tuna mabasi makubwa makubwa na yote yamepakwa rangi ya kijani, hayana hiyo michoro, tunasafiri kwa raha zetu kama tumetulia na yapo mengi hivyo uhakika wa usafiri upo muda wote, huwa hainichukui hata dakika mbili stendi, nayategemea hata kuliko gari binafsi au taxi.
 
Unajua Kenya ni nchi ya kibepari, kila muwekezaji ana uhuru wa kupamba matatu zake atakavyo, inategemea wewe mkaazi wa maeneo gani, kwka mfano kwetu huku tuna mabasi makubwa makubwa na yote yamepakwa rangi ya kijani, hayana hiyo michoro, tunasafiri kwa raha zetu kama tumetulia na yapo mengi hivyo uhakika wa usafiri upo muda wote, huwa hainichukui hata dakika mbili stendi, nayategemea hata kuliko gari binafsi au taxi.
Ubepari wa kuazima.
 
Hayo mabasi ya mwendo kasi ukiyaona kwa video za kwenye Youtube au mapicha yanatamanisha na kupendeza, ila sasa wahoji wakaazi wa Dar wanao yategemea ndio upate mziki wa kero zake.

Kwa uzoefu wangu wa kuishi miji yote miwili tena kwa muda mrefu, yaani tu pamoja na kero za matatu/daladala zetu hapa Nairobi ila zipo nafuu kwa mbali sana ukilinganisha na kero za Dar.
Wewe unajulikana,ni afadhari hata usinge comment hapa...akili zako ndogo hua tunazijua
 
Nafikiri kwenye public transport Rwanda na Tanzania wako vizuri saana compared to other East African countries as I've been all over East Africa nawapa heko kwa sababu hizi wako organized, clean, calm and collected compared na Kenya wako loud, Price Flactuation

Uganda usafiri wao wanaita taxi Ila tudogo, tuchafu, tunajaza saana.
Kenya inajulikana, Rwanda town wako very organized kwanza unalipa unakatiwa electronic tickets, mnakaaa level sit, clean and tidy, madereva wanaheshimu Sheria za barabarani, kondakta wasafi,

Nafikiri Rwanda wanaogoza then Tanzania ya pili.

Tanzania and Rwanda is way more better.
 
Hayo mabasi ya mwendo kasi ukiyaona kwa video za kwenye Youtube au mapicha yanatamanisha na kupendeza, ila sasa wahoji wakaazi wa Dar wanao yategemea ndio upate mziki wa kero zake.

Kwa uzoefu wangu wa kuishi miji yote miwili tena kwa muda mrefu, yaani tu pamoja na kero za matatu/daladala zetu hapa Nairobi ila zipo nafuu kwa mbali sana ukilinganisha na kero za Dar.
Wivuuuuuuu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tatizo kubwa ni siasa za kujipendeleza kwa wapiga kura.

Mfano kituo cha mbezi mwisho utadhani dampo kwa sasa.
Nafikiri kwenye public transport Rwanda na Tanzania wako vizuri saana compared to other East African countries as I've been all over East Africa nawapa heko kwa sababu hizi wako organized, clean, calm and collected compared na Kenya wako loud, Price Flactuation

Uganda usafiri wao wanaita taxi Ila tudogo, tuchafu, tunajaza saana.
Kenya inajulikana, Rwanda town wako very organized kwanza unalipa unakatiwa electronic tickets, mnakaaa level sit, clean and tidy, madereva wanaheshimu Sheria za barabarani, kondakta wasafi,

Nafikiri Rwanda wanaogoza then Tanzania ya pili.

Tanzania and Rwanda is way more better.
 
Back
Top Bottom