Punyeto ni pepo mchafu...

nilipokua mtu wa madem kabla ya game lazma nipge nyeto game1 ndo nimdandie nilikua nawafaidi sana
 
Punyeto pepo mchafu! Unafikiri humu ndo umekuja kwa pepo wasafi au ndo umeleta kesi kwa pepo atakaekufundisha style za nyeto ili usiichoke😂😂

Kuna mdau alishaandika humu Hadi nzi alikuwa anawatumia kupiga nyeto😂😂😂
Jf ni koboko sio siri!... Mtu anakusanya nzi kwenye mfuko wakijaa anajifungia kwenye dudu kazi yake inakuwa kuupigapiga mfuko ili nzi wawe wanaweweseka yeye anakula raha😂😂😂😂

It's true jf is the home of great thinker!
Hii njia nilipoisoma humu nilijua Kuna watu wabunifu kiwango kisichopimika😂😂😂
 
punyeto ni kitu kibaya sana japo wengi wamepitia ila madhara yake ni makubwa na huchukua muda sana kumalizika mfano kuwahi kumaliza, kushindwa kurudia, kukosa hisia na mtu unae kitandani, au kuvuta sana hisia ndio uweze kusimamisha, kukosa nguvu, na wakati mwengine unaweka mpaka unachoka ila hufiki mwisho. sishauri mtu yoyote apige nyeto

ikiwa unataka kuacha ni lazima uamue kwa moyo mmoja. nachoshukuru mimi niliiacha pale wengi ambapo wameanzia na ndio maana sijakaa kurudia tena, napo ni boarding school.

aim for the stars
 
Nikipata chance tu namaliza.

Nakumbuka enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa sekondari.
Nilikua namaliza mpaka chumba cha mtihani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom