Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

kuna jamaa yetu alikuwa na kauli kama hizi yeye mwenyewe akidai "anakunywa kistaarabu". sasa bwana uku na uku ikafika mahali mwili ukaumuka kama yule

Wengine wana matatzo yao pia na aina ya pombe.

Halafu kunywa kiasi na kunywa kistaarabu ninmambo mawili twafauti. Inawezekana alikua akinywa anakunywa nyingi mno lakini bado anakua mstaarabu ila kazidisha kiasi.

All in all sisi tunaokunywa tunatambua pombe ina madhara na kama hunywi usijaribu baki na juice ya embe.
 
Kama Mimi vile kwenye jokofu Kuna bia za kuzidi naziangalia tu!
Ila siku nikichafukwa nalewa
Dah,

Jana usiku nilikuwa najibu huu uzi. Nikalala nikaota nimesafiri nipo katika bonge la hoteli, nimekaa peke yangu, mara akaja dada mmoja very smart akanichangamkia akanipa chupa ya wine, nikawa namwambia mimi sinywi.

Yani majaribu mpaka kwenye ndoto.
 
Tumeshaathirika kisaikolojia ya pombe
 
We jamaa unaishi kwenye madhabahu ya pombe...hahah!
 
Mwanao kagoma kabisa kuacha pombe,,,akaamua azitengeneze kabisa
 
Kuna mambo mawili tu yanainusuru dunia kuwa sehemu tulivu....kiasi kwamba visinge kuwepo tungechinjana kama kuku navyo ni DINI na POMBE...
Ondoa dini ya alla,ile sio dini ya amani na kuleta watu karibu kwa umoja na utulivu
 
Natamani kuacha pombe ila napokumbuka bar ndiyo sehemu pekee ambayo hua napatiepo michongo ya pesa, moyo wangu unasita kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…