Pumzika kamanda Mawazo

Pumzika kamanda Mawazo

Aluta Continua.. R.I.P diwani wangu.


Damu ya mtu haimwagwi bure, najua ipo siku tu Jah ataonyesha.

Mbele kweupe. Muda tu.
 
amefariki leo. Kifo chake kimetokana na kukatwa katwa kwa kutumia mapanga na hii MIPANYA ya sisi Emu wakati akitoka kwenye kampein za udiwani
una uhakika waliomkatakata ni sisi Emu? kwenye vitu serious kama hiv ebu tujitaid kuifadhi jazba zetu pembeni,, ni kweli inauma sana lakini .......... R.I.P
 
Back
Top Bottom