Serekali ikifumbia macho ukatili kama huu kwa ushabiki wa vyama na itikadi
Yapo majuto mbeleni na hayatoangalia chama wala dini
Wahusika wakamatwe na sheria ichukue mkondo wake
Pia haki itendeke na ionekane imetendeka
siipendi cdm ila kwa siasa za kijinga hadi unapoteza uhai wa mwenzio hizi sio siasa nzuri kwapamoja bila kujali itikadi za vyama vyetu kukemea na kuacha kutumika na wanasiasa wanaopenda kutoana roho.
wakamatwe nao wahukumiwe