Acha kupotosha ukweli ni kuwa akisema mambo 9 nusu jambo ndilo linaweza kwa Bahati mbaya kuwa kweliHivi mpaka sasa unamumini huyu jamaa?
Ukiona mtu kila kitu yeye anakijua hakubali kukosolewa ujue ni shida..
Huyu jamaa akisema mambo 9 basi ujue matatu ni ya kweli lakn yaliobaki ni chai