windows8.1
Member
- Apr 10, 2014
- 15
- 0
Wadau! Ipi kati ya hizo itanifaa zaidi kwani nategemea kuanza kufanya mitihani ya moja wapo. Kitaaluma nina shahada ya elimu na post graduate diploma in procurement and logistics management.
Du!asante nimekusoma sana mkuu.Cips kwan ukimaliza cips utakuwa umequalify kimataifa then chet chako cha cips ukikipeleka psptb wanakupa na chet cha psptb kwa level uliyofikia hivyo kwa kufanya hvyo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja
mzee shukurani kwa mada hii, je kuna mtu anaweza kusaidia pia kucompare kuhusu gharama zao!!Msaada pia kwenye hiliDu!asante nimekusoma sana mkuu.
mzee shukurani kwa mada hii, je kuna mtu anaweza kusaidia pia kucompare kuhusu gharama zao!!Msaada pia kwenye hili
Ntawezaje kupata study book kwa l4 mkubwa.naomba mwongozo.Mimi nafanya cips level5 karibu kwa msaada angaliz get prepared well
Untaka level gan nikufanyie processNtawezaje kupata study book kwa l4 mkubwa.naomba mwongozo.
Level four: diploma in procurement and supply management. Module zote tanoUntaka level gan nikufanyie process
Pole kaka! Hapa ni watu wa ununuzi na ugavi mkuu.Watu mnasoma kweli mpaka naona wivu hapa nimetoka kapa sijaelewa kinaongelewa nini
Mimi nafanya cips level5 karibu kwa msaada angaliz get prepared well
mkuu za kwako unahitaji nini kaka??Ni pm mkuu nahitaji hii kitu