PSPF msaada jamani

PSPF msaada jamani

ntahagaye

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
92
Reaction score
19
Msaada jamani mimi nilikuwa mwalimu selikarini sasa nimefukuzwa kazi nilikuwa mwanachama wa PSPF nimechangia kwa miezi arobaini .

Nilikuwa nauliza, je nienda kudai malipo yangu ntalipwa pia nilikuwa nataka kujua calculation inakuaje ya malipo hayo.
 
wewe ulikuwa na vyeti feki? walimu wengi mnalia kwan vyeti fake vinawavua nguo
 
Hata ualimu wako feki! Ninyi ndiyo mnaidhalilisha kada ya ualimu!!

Unashindwa hata kwenda ofisini kwao, wapo kila mkoa unabaki kupiga mayowe JF!!
 
Pole Sana mwalimu mwenzangu tuliyeanza wote kaz mwaka 2011. Jaribu kuwafata ofisini kwao. Ila sidhan km itawezekana.
 
PSPF Wamefirisika. Hawajalipa mafao ya mtu yeyote tangu Mwezi March. Hio hela huipati leo wala kesho. Andika maumivu.
 
Back
Top Bottom