PSPF mbona wasumbufu katika kulipa mafao?

PSPF mbona wasumbufu katika kulipa mafao?

Nilikamata FAO la kujitoa lapf ndani ya siku 6 baada ya kusubmitt all necessary documents.
Poleni sana , serikali imeikomba hiyo Mifuko hawana kitu cha kuwalipa wanachama wao.
 
Wanadai mafile ni mengi ya wastaafu kuliko fedha iliyopo!!hivyo wanavuta mda waajiriwa wapya wachangie na serikeli ikilipa deni ndio wawalipe!!kifupi PSPF imeyumba sana!!
 
Wandugu kwema?

Hivi huwa PSPFwanahitaji siku ngapi kabla ya kulipa mafao, tangu mfanyakazi anapostaafu rasmi?

Nimefuatilia matangazo yao ya kujaribu kuwahadaa watu ili wapate wateja wapya kwa muda mrefu, wanadai ni siku 3 tu (fuatilia kauli yao mbiyu kupitia Orijinal Komedy, "Mafao yapo tayari")!

Lakini kiuhalisia wastaafu kupitia pspf wanateseka sana hadi kupata hiyo stahili yao.

Nina mifano ya wahanga wengi tu, kuna mmoja amestaafu tangu mwezi wa kumi mwaka jana (Oktoba 2014), hadi leo hii bado.
 
Nimepata fununu kwamba wastaafu hawajaliowa kwa kuwa serikali haijalipa makato toja january hivyo PSPF wanashindwa kukokotoa kwani hisabu hutegemea mshahara wa mwisho.
 
Nimepata fununu kwamba wastaafu hawajaliowa kwa kuwa serikali haijalipa makato toja january hivyo PSPF wanashindwa kukokotoa kwani hisabu hutegemea mshahara wa mwisho.

Hii ni kweli
 
Hivi hawa PSPF watalipa lini Wastaafu waliostafu Mafao yao,maana hii nenda rudi tangu April mwaka huu mpaka leo hii inachosha,kusumbua na kuwapa pressure na visukari Wazee wetu.
 
M
kitu kingine ni hizi ela za miezi mitatu mitatu. mwezi wa nne watu walilalamika sana mwezi huu wamerudia tena. pspf mnakera
Jipu hilo nadhani wenye dhamana wamesikia
 
Hii PSPF iwe wazi tuu kama imefilisika au laa kuliko kusumbua hawa Wazee wetu kwa nenda rudi yao isiyokuwa na mwisho.
 
Nenda ghorofa ya tisa... mtafute mtu anaitwa masaba yeye atakusaidia jamaa ni mstaharabu sana atakusaidia
Masaba akiwa hayupo wengine wote sio wastaraabu!!uhmmm bil shaka hii haituffai tena!!
 
Mifuko mingi ya pension ipo hoi, awamu ya 4 ilisomba sana hela huko hadi sasa ni kitendawili!
 
Back
Top Bottom