PSPF mbona wasumbufu katika kulipa mafao?

PSPF mbona wasumbufu katika kulipa mafao?

alunashadya

Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
57
Reaction score
10
Wadau JF,

Napenda kujua, hivi mtumishi anapostaafu itachukua muda gani kulipwa mafao? Nina mama yangu alistaafu tangu Machi 31. Hadi leo anahangaikia malipo bila mafanikio, wanampiga kalenda sana, haelewi, wakati ile ni haki yake kisheria.

Hebu wenye uzoefu naombeni mawazo.
 
hahah mwaka jana kuna mzazi alistaaafu ilipita miezi Tisa na serikalini walishakata mshahara yeye yuko mkoani aliniomba nimfuatilie nlimwonea imani sana ukienda pale ni majibu ya sugar ila ndio hivyo mama Wa watu kakaa miezi tisa
 
Wadau JF,

Napenda kujua, hivi mtumishi anapostaafu itachukua muda gani kulipwa mafao? Nina mama yangu alistaafu tangu Machi 31. Hadi leo anahangaikia malipo bila mafanikio, wanampiga kalenda sana, haelewi, wakati ile ni haki yake kisheria.

Hebu wenye uzoefu naombeni mawazo.

Kustaafu tu pekee sio ndio kuanza kulipwa. Yeye barua yake ya kustaafu kaipeleka lini PSPF?
 
Nenda ghorofa ya tisa... mtafute mtu anaitwa masaba yeye atakusaidia jamaa ni mstaharabu sana atakusaidia
 
Wadau JF,

Napenda kujua, hivi mtumishi anapostaafu itachukua muda gani kulipwa mafao? Nina mama yangu alistaafu tangu Machi 31. Hadi leo anahangaikia malipo bila mafanikio, wanampiga kalenda sana, haelewi, wakati ile ni haki yake kisheria.

Hebu wenye uzoefu naombeni mawazo.
Embu tueleze wanapompiga kalenda wanakuwa wanatoa sababu gani?ili tuanzie hapo kwanza na pili anafuatilia mafao yake mkoa gani? ila pspf kwa sasa inapumulia mashine
 
Embu tueleze wanapompiga kalenda wanakuwa wanatoa sababu gani?ili tuanzie hapo kwanza na pili anafuatilia mafao yake mkoa gani? ila pspf kwa sasa inapumulia mashine

Mama anafatilia akiwa mkoani mtwara,kila akienda eti arudi au apige simu baada ya wiki mbili yaani miezi 4 sasa,mimi nilijaribu kufatilia wakanipa namba yao ya simu eti apige watamuelekeza,dah ni usumbufu
 
Kustaafu tu pekee sio ndio kuanza kulipwa. Yeye barua yake ya kustaafu kaipeleka lini PSPF?

mkuu kila kitu alikamilisha wkt aliomba likizo ya kustaafu,kwani mpaka sasa wanadai hundi iko tayari mpaka isainiwe na benki kuu ndio itamfikia kupitia mwajiri hadi pspf mkoani mtwara
 
wao wanadai hundi iko tayari eti bado haijasainiwa na benki kuu??? hapo sijaelewa
 
Poleni sana wastaafu, pesa yenu ilitumika kujenga chuo kikuu cha UDOM, bahati mbaya serikali iliyokopeshwa hiyo pesa imefilisika, wanachofanya kwa sasa ni kukusanya michango ya wanachama kwa mwezi na kuwalipa wastaafu, ndiyo maana wanakuambia hundi yako imeshatayarishwa bado kusainiwa, pesa zikitimia hundi yako itasainiwa na kulipwa.

Unaweza kujaza form hii hapa chini kwenda kwa mamlaka inayohusika:-

[h=3]Karibu kwenye mfumo wa kushughulikia malalamiko wa SSRA
[/h]
 
yani mkuu ppf wanakera sana pesa zakwako alafu wanazungusha..bora NSSF...nilijuta kujiunga na ppf
 
PSPF ni $&@@@&)) sana najuta kujiunga, ni waongo sana, wanatangaza mafao hata hawatoi yani nlikosea sana kujiunga na hawa wa $%#€£**%%
 
yani mkuu ppf wanakera sana pesa zakwako alafu wanazungusha..bora NSSF...nilijuta kujiunga na ppf

Uuuuuwiiiiiio, huko NSSF ndio kabisaa hakufai. Ukichukua matatizo yote yaliyoko huko kwengine ukayajumlisha kwa pamoja hayafikii nusu ya matatizo yaliyoko NSSF
 
NSSF hawafai hata kidogo hadi sasa nina mgogoro nao wa kunikata asilimia 10 badala ya tano
 
Pspf hawana uwezo wa kulipa mafao kwa sasa ...wamewekeza hela zao sehemu ambazo haziwezi kurudi leo wala kesho ... pia wameikopesha serikali hela nyingi mnoo hadi kuyishia mfuko kufa .... mfuko pekee wenye kulipa mafao ya uhakika Na kwa wakati ni GEPF . ila nao kwa baadae wakija kuwekeza kipumbafu kama PSPF itakuwa ni upumbavu ule ule...
 
Mfuko gani sas utatuokoa maana yote ni ya serikali sikivu ya CCM
 
Nenda ghorofa ya tisa... mtafute mtu anaitwa masaba yeye atakusaidia jamaa ni mstaharabu sana atakusaidia

Inamaana bila kupitia kwa mr Masaba hupati hela mapema,mmh sasa kwa sisi tulioko mikoani tuje Dar sasa huu ni uonevu
 
Hao wengine watakusumbua tu.... kila siku watakwambia njoo kesho njoo kesho.... mtafute huyo masaba yy atakushughulikia na atakupa jibu kamili
 
Back
Top Bottom