mbona watu washaaitwa waende kuripoti kazini kuanzia tar 01/07/3013.
mbona watu washaaitwa waende kuripoti kazini kuanzia tar 01/07/3013.
hahahaha...hatariiiiii....ila kumbuka kuwa kuna MUNGU pia...Mkuu hizo kupata ni ndoto kuna watoto wa katibu mkuu wa3 familia Moja wanafanya tempo, watoto wa mawaziri 4... nao wapo tempo...memo sasa kutoka kwa viongozi wastaafu ni nyingi ndugu jamaa na marafiki yaani ni kimbembe....tafuta kwingine rafiki...