PS anayemtega BOSS wake

PS anayemtega BOSS wake

illuh

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
1,254
Reaction score
700
Tuko kwaajili ya kuelimishana mawazo ya wengi ni mazuri

Mimi hili jambo lanitatiza hasaa.
Hivi huyu boss kusema PS wake anamtega na baadhi ya watu kucomment amfukuze, wengine amwambie, mwengine amgonge tuu…
Kwa mimi upeo wangu mdogo ni kwamba:
Huyu PS nae ana nafsi inayomtuma kupenda, anaweza kumpenda bos wake kama mwingine anavyopenda wanaume wengine huko nje…Pengine boss wake ni mtanashati, sura nzuri, umbo zuri, tabia akatokea kumpenda..
Mbona wapo mabos ambao wanapenda PS wao vile vile? Mbona wapo Wafanya kazi kwa wafanyakazi wanaopendana katika ofisi moja vile vile? Mbona wapo watu waliooana na wanafanya kazi katika ofisi moja vile vile hata Serikalini au Kampuni binafsi?
Me nnachokiona hapo ni kuwekeana heshima. Kama boss umeamua kumpenda PS wako basi weka heshima, mapenzi nje ya ofisi, ofisini ni kazi. Km ofisi moja kuna mume na mke heshima ya ofisi ibaki pale pale.
Me naimani hiyo kuharibu kazi ni wewe mwenyewe udhaifu wako Wewe boss, au wewe mfanyakazi kwani ukitoka kazini unamuda tooosha wa wewe kuvinjari na huyo umpendae.
Mfano: Bill Clinton alipendana na Secretary wake.

Hii ni ubaguzi…Ndio ile ninayoifananisha na kumnyima House girl asipendane na Boss wake wakati naye pia anahaki ya kupenda ..
Mtu akikupenda si lazima umkubalie kama humpendi…Unakauli, wewe kama boss kama humfill PS wako mwambie huo ni upendo…Wewe PS kama humfill boss wako akikutongoza mwambie no. Kama unampenda mwambie YES ila muwe na conditions zitakazo linda kazi..
Upendo unachanua popotee.. Kama hujaoa au kuolewa pengine huyo ndie atakaekuja kuwa wako nap engine ndiye atakayeweza kukufaa na anaheshima kuliko…Na akaweza kukushauri kikazi zaidi…Km upo single say yes your PS

Tubadilike…
 
Ulishawahi soma mambo ya management ya biashara? Unajua conflict of interest?
Uwe na mahusiano na surbodinate wako, mtafanya kazi kweli?
 
aisifiaye mvua imemnyea...naona ile thread imekukuna mpaka umeamua kutuletea Episode ya Pili
 
Tuko kwaajili ya kuelimishana mawazo ya wengi ni mazuri

Mimi hili jambo lanitatiza hasaa.
Hivi huyu boss kusema PS wake anamtega na baadhi ya watu kucomment amfukuze, wengine amwambie, mwengine amgonge tuu…
Kwa mimi upeo wangu mdogo ni kwamba:
Huyu PS nae ana nafsi inayomtuma kupenda, anaweza kumpenda bos wake kama mwingine anavyopenda wanaume wengine huko nje…Pengine boss wake ni mtanashati, sura nzuri, umbo zuri, tabia akatokea kumpenda..
Mbona wapo mabos ambao wanapenda PS wao vile vile? Mbona wapo Wafanya kazi kwa wafanyakazi wanaopendana katika ofisi moja vile vile? Mbona wapo watu waliooana na wanafanya kazi katika ofisi moja vile vile hata Serikalini au Kampuni binafsi?
Me nnachokiona hapo ni kuwekeana heshima. Kama boss umeamua kumpenda PS wako basi weka heshima, mapenzi nje ya ofisi, ofisini ni kazi. Km ofisi moja kuna mume na mke heshima ya ofisi ibaki pale pale.
Me naimani hiyo kuharibu kazi ni wewe mwenyewe udhaifu wako Wewe boss, au wewe mfanyakazi kwani ukitoka kazini unamuda tooosha wa wewe kuvinjari na huyo umpendae.
Mfano: Bill Clinton alipendana na Secretary wake.

Hii ni ubaguzi…Ndio ile ninayoifananisha na kumnyima House girl asipendane na Boss wake wakati naye pia anahaki ya kupenda ..
Mtu akikupenda si lazima umkubalie kama humpendi…Unakauli, wewe kama boss kama humfill PS wako mwambie huo ni upendo…Wewe PS kama humfill boss wako akikutongoza mwambie no. Kama unampenda mwambie YES ila muwe na conditions zitakazo linda kazi..
Upendo unachanua popotee.. Kama hujaoa au kuolewa pengine huyo ndie atakaekuja kuwa wako nap engine ndiye atakayeweza kukufaa na anaheshima kuliko…Na akaweza kukushauri kikazi zaidi…Km upo single say yes your PS

Tubadilike…
Sio sawa Boss na PS Kuhusiana, sawa kila binadamu anao udhaifu wake na huwezi kumkatalia mtu kumpenda anayemtaka, kila mtu yuko huru kupenda, lakini kwa nidhamu ya kazi Sio sawa Boss na PS Kuhusiana, umeshawahi kufika ofisi ukakuta PS Ndio Boss Badala ya Boss halisi? analoamua PS ndio final!! Boss hana cha kusema.
 
Tuko kwaajili ya kuelimishana mawazo ya wengi ni mazuri

Mimi hili jambo lanitatiza hasaa.
Hivi huyu boss kusema PS wake anamtega na baadhi ya watu kucomment amfukuze, wengine amwambie, mwengine amgonge tuu…
Kwa mimi upeo wangu mdogo ni kwamba:
Huyu PS nae ana nafsi inayomtuma kupenda, anaweza kumpenda bos wake kama mwingine anavyopenda wanaume wengine huko nje…Pengine boss wake ni mtanashati, sura nzuri, umbo zuri, tabia akatokea kumpenda..
Mbona wapo mabos ambao wanapenda PS wao vile vile? Mbona wapo Wafanya kazi kwa wafanyakazi wanaopendana katika ofisi moja vile vile? Mbona wapo watu waliooana na wanafanya kazi katika ofisi moja vile vile hata Serikalini au Kampuni binafsi?
Me nnachokiona hapo ni kuwekeana heshima. Kama boss umeamua kumpenda PS wako basi weka heshima, mapenzi nje ya ofisi, ofisini ni kazi. Km ofisi moja kuna mume na mke heshima ya ofisi ibaki pale pale.
Me naimani hiyo kuharibu kazi ni wewe mwenyewe udhaifu wako Wewe boss, au wewe mfanyakazi kwani ukitoka kazini unamuda tooosha wa wewe kuvinjari na huyo umpendae.
Mfano: Bill Clinton alipendana na Secretary wake.

Hii ni ubaguzi…Ndio ile ninayoifananisha na kumnyima House girl asipendane na Boss wake wakati naye pia anahaki ya kupenda ..
Mtu akikupenda si lazima umkubalie kama humpendi…Unakauli, wewe kama boss kama humfill PS wako mwambie huo ni upendo…Wewe PS kama humfill boss wako akikutongoza mwambie no. Kama unampenda mwambie YES ila muwe na conditions zitakazo linda kazi..
Upendo unachanua popotee.. Kama hujaoa au kuolewa pengine huyo ndie atakaekuja kuwa wako nap engine ndiye atakayeweza kukufaa na anaheshima kuliko…Na akaweza kukushauri kikazi zaidi…Km upo single say yes your PS

Tubadilike…

nimeupenda sana ushauri wako tena umetumia lugha safi fasaha na yenye staha I like it
 
Ulishawahi soma mambo ya management ya biashara? Unajua conflict of interest?
Uwe na mahusiano na surbodinate wako, mtafanya kazi kweli?


Nenda mawizarani, mikoani ofisi za halmashauri utakuta wengi tuu wanafanya kazi na wake zao ofisi moja vizuri tuu......Acha ubishi fanya uchunguzi

Si bora huyo ameweka wazi...Mbona wengi tuu wanatembea maofisini Bosi na mfanyakazi wake lkn watu hawajui ? Kujulikana ni kujashuhudia tuu labda demu kazaa mtoto anafanana na bosi wake... Chunguza kaka utabainiii
 
Mkuu MUSSOLIN, pia 'Jiwe likirushwa gizani atoaye kilio jua limempata!' Nadhani ndiyo huyo PS! Hahahahahaaaaaa, haya kazi kwake sasa!
aisifiaye mvua imemnyea...naona ile thread imekukuna mpaka umeamua kutuletea Episode ya Pili
 
Last edited by a moderator:
Sio sawa Boss na PS Kuhusiana, sawa kila binadamu anao udhaifu wake na huwezi kumkatalia mtu kumpenda anayemtaka, kila mtu yuko huru kupenda, lakini kwa nidhamu ya kazi Sio sawa Boss na PS Kuhusiana, umeshawahi kufika ofisi ukakuta PS Ndio Boss Badala ya Boss halisi? analoamua PS ndio final!! Boss hana cha kusema.

Ndio katika kupenda unatakiwa uangalie...huyo PS wa hivyo hajatulia...na wapo mabos pia ambao hawajatulia....Kunamtu anaweza kuwa anatembea na mtu yeyote asijue ni kwa kificho hasa mapenzi nje ya ofisi...Hii si ofisini tuu hata huko mitaani unapochagua unatakiwa uangalie ustaarabu, heshima ya mwanamke si unakurupuka tuu ndio maana siku hizi watu hawadumu....Ukimuona mwanamke anajifanya hivyo ni mjinga wa mapenzi na atakuharibia katika maendeleo yako...Kama anajua nini maana ya kazi, na anajua nini maana ya maendeleo hawezi kuwa hivyo
 
Kwa hiyo watu weeeengi wakifanya kosa, kosa hilo linahalalishwa?

Basi tutahalalisha kuua tembo very soon

Nenda mawizarani, mikoani ofisi za halmashauri utakuta wengi tuu wanafanya kazi na wake zao ofisi moja vizuri tuu......Acha ubishi fanya uchunguzi

Si bora huyo ameweka wazi...Mbona wengi tuu wanatembea maofisini Bosi na mfanyakazi wake lkn watu hawajui ? Kujulikana ni kujashuhudia tuu labda demu kazaa mtoto anafanana na bosi wake... Chunguza kaka utabainiii
 
me si PS jamani...Me nna biashara zangu...Bos mwenyewe, muajiriwa mwenyewe....Ila nimesoma Managment sikutaka kuajiriwa
 
kwani katika kila tongozo lazima mtu ukubali hata wanaume pia mnatakiwa kuwa na misimamo sio kwasababu mwanamke kajilengesha isiwe sababu ya kulala nae amwite amweleze kuwa hana hisia na yeye na baada ya hapo kila mtu aheshimu nafasi yake kazini.
 
Back
Top Bottom