nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,034
- 900
Je gari analotumia namba yake inabidi ibadilishwe kuwa NWM au itawekwa ngao? Au inasomekaje?
Anakuwa na msafara kama Waziri Mkuu?
Ofisi yake ipo ndani ya ofisi ya Waziri Mkuu?
Endapo kuna shughuli ya kitaifa kwa mfano kuzima Mwenge, atakuwa wa ngapi kuingia uwanjani, kwa mfano huu..
E 1 (Rais) E 2 (Makamu) E 3 (Waziri Mkuu) E 4 (Rais wa Z'bar) E 5 (Naibu W M) E 6 & E 7 (Makamu wa Rais wa Z'bar) je ndivyo itakavyokuwa?
Nafasi hii inaweza kudumu hadi Uchaguzi ujao 2025?? Au ni cheo cha mkakati?
Anakuwa na msafara kama Waziri Mkuu?
Ofisi yake ipo ndani ya ofisi ya Waziri Mkuu?
Endapo kuna shughuli ya kitaifa kwa mfano kuzima Mwenge, atakuwa wa ngapi kuingia uwanjani, kwa mfano huu..
E 1 (Rais) E 2 (Makamu) E 3 (Waziri Mkuu) E 4 (Rais wa Z'bar) E 5 (Naibu W M) E 6 & E 7 (Makamu wa Rais wa Z'bar) je ndivyo itakavyokuwa?
Nafasi hii inaweza kudumu hadi Uchaguzi ujao 2025?? Au ni cheo cha mkakati?