Hivi lini EA Federation itakuja tufute huu mpaka wa kufikirika uliopo. Maana haileti tija yoyote kumzuia Mjaluo mwenye familia huku na huku, Mkurya, Mmasai, Mdigo kuvuka mpaka. Kule uchagani maisha yaliboreka wakati Tanzania hali ni Mbaya ni kwakuwa Vijana walichungulia fursa Nairobi.