Haka kamchizi niliwahi kukaona tangu mwanzo kanajiunga Insta yan post zake za kwanza kwanza kabisa kipindi hicho kamewafollow wakina Diamond, Ney wa mitego, page za udaku na ujinga ujinga mwingi uko instagram. Hapo ndipo nilishangaa nabii gani hajielewi anafollow vitu visivyoendana na mlengo wake wa kitumishi. Kipindi hicho kinavaa vijeans vya kishamba ata suti zake hazikuwa za kueleweka. Sijui kameokota wapi izo pesa za kutambia ndani ya muda mfupi tu tangu nikaone mara ya kwanza kashambashamba tu. Kama ni sadaka basi waumin wake ni vilaza wa PHD