mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Tunaenda na mabasi 80 yaliyojaa,
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na ndege na private cars approximately 5000 Guests in Kigali.
Je Kigali yenye yenye watu 1M inaeza kuaccomodate ugeni wote huo? Hayo mahotel yapo? Hapo hatujazungumzia wageni wataotoka Sudan.
NB: Mgeni (Guest team ) hua inapewa fixed ticket less than 2.5%, je El merekh watalogwa watoe tickets more than 25% kwa wageni? Huoni itawacost? Ingekua wananjaa na maokoto c ingepigwa dar wanaokota Zaid?
Kila basi Lina avarage ya 55 passengers ..so total kwa basi 80 n 4,400 na kila abiria aliambiwa anaandae 50k ya hotel na sio lodge, bado Kuna wale wataoenda na ndege na private cars approximately 5000 Guests in Kigali.
Je Kigali yenye yenye watu 1M inaeza kuaccomodate ugeni wote huo? Hayo mahotel yapo? Hapo hatujazungumzia wageni wataotoka Sudan.
NB: Mgeni (Guest team ) hua inapewa fixed ticket less than 2.5%, je El merekh watalogwa watoe tickets more than 25% kwa wageni? Huoni itawacost? Ingekua wananjaa na maokoto c ingepigwa dar wanaokota Zaid?