Projectors for sales at cheap

Projectors for sales at cheap

mathematics

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
3,324
Reaction score
1,116
​Nice and very little used PROJECTORS from USA available, Epson projectors and other different types, project large image in the screen up to 300 inches diagonal. They can be suitable for many functions, watching movie in big screen, watching football match in big screen, presentations etc. Only TSH 560,000/= ! Serious buyer call: 0752-858693 / 0714-345958

aaa.JPG aaab.JPG
 
Nice and very little used PROJECTORS from USA available, different type suitable for many functions. You are welcome! 0752-858693 / 0714-345958

Mathematics Nadhani ni mgeni kweli kwenye hili dimba,
Simu ni hatua ya mwisho baada ya mteja kutoa uamuzi kununua au maelezo ya mwisho juu ya bidhaa hasa kwa sababu inahusisha gharama, maswali yote ya msingi kuhusu bidhaa unazouza yanatakiwa yajibiwe kwenye Tangazo lako.

Mfano Unaposema various Type; Umeshindwa kuzi-mention na kuweka specification hata za danganya toto?, Picha je? basi hata bei unayouzia unataka tukuulize kwenye simu gharama ya simu itakuwa compensated kwenye Bei ya Bidhaa?

Jaribu kurekebisha baadhi ya mambo ya msingi urahisishe zoezi!
 
Asante. Sasa tueleze ni LCD projectors, 16mm projectors, ni aina gani ya projecors kwa ajili ya kazi gani, models, picha, hali ya projectors, Bei za kila aina, etc. Ukifanya hivyo utashangaa mara moja watu watajitokeza kuliko kuweka namba za simu tu. Hapa sikutozi chochote kwa ushauri huu
 
Nimekupata mzoefu, nimefanya some changes by adding some information price and picture, i hope nimejaribu kuelezea kidogo, kama kuna limepungua ushauri wako nitazidi utumia...
 
Mathematics Nadhani ni mgeni kweli kwenye hili dimba,
Simu ni hatua ya mwisho baada ya mteja kutoa uamuzi kununua au maelezo ya mwisho juu ya bidhaa hasa kwa sababu inahusisha gharama, maswali yote ya msingi kuhusu bidhaa unazouza yanatakiwa yajibiwe kwenye Tangazo lako.

Mfano Unaposema various Type; Umeshindwa kuzi-mention na kuweka specification hata za danganya toto?, Picha je? basi hata bei unayouzia unataka tukuulize kwenye simu gharama ya simu itakuwa compensated kwenye Bei ya Bidhaa?

Jaribu kurekebisha baadhi ya mambo ya msingi urahisishe zoezi!


Nimekupata mzoefu, nimefanya some changes by adding some information price and picture, i hope nimejaribu kuelezea kidogo, kama kuna limepungua ushauri wako nitazidi utumia...
 
Asante. Sasa tueleze ni LCD projectors, 16mm projectors, ni aina gani ya projecors kwa ajili ya kazi gani, models, picha, hali ya projectors, Bei za kila aina, etc. Ukifanya hivyo utashangaa mara moja watu watajitokeza kuliko kuweka namba za simu tu. Hapa sikutozi chochote kwa ushauri huu

@Mkulima kuna LCD/3LCD/DLP ,tell me what else do you want to know? Thank you.
 
@Mkulima kuna LCD/3LCD/DLP ,tell me what else do you want to know? Thank you.

Ningependa kujua Model ya hiyo Projector, Resolution zake, Umbali recomended, warranty, kama ni new or used etc.. nikiridhika na sifa zake nitakutafuta..
 
Nice and very little used PROJECTORS from USA available, Epson projectors and other different types, project large image in the screen up to 300 inches diagonal. They can be suitable for many functions, watching movie in big screen, watching football match in big screen, presentations etc. Only TSH 560,000/= ! Serious buyer call: 0752-858693 / 0714-345958

View attachment 48589 View attachment 48590

Mimi ni nina Tshs 360,000 Taslim. Vipi nitapata?
 
Mathematics Nadhani ni mgeni kweli kwenye hili dimba,
Simu ni hatua ya mwisho baada ya mteja kutoa uamuzi kununua au maelezo ya mwisho juu ya bidhaa hasa kwa sababu inahusisha gharama, maswali yote ya msingi kuhusu bidhaa unazouza yanatakiwa yajibiwe kwenye Tangazo lako.

Mfano Unaposema various Type; Umeshindwa kuzi-mention na kuweka specification hata za danganya toto?, Picha je? basi hata bei unayouzia unataka tukuulize kwenye simu gharama ya simu itakuwa compensated kwenye Bei ya Bidhaa?

Jaribu kurekebisha baadhi ya mambo ya msingi urahisishe zoezi!

C lazima kila kitu kiwe ndani ya tangazo, hata cmu inatumika kubargain ile type aliyoitaja.
 
Mathematics Nadhani ni mgeni kweli kwenye hili dimba,
Simu ni hatua ya mwisho baada ya mteja kutoa uamuzi kununua au maelezo ya mwisho juu ya bidhaa hasa kwa sababu inahusisha gharama, maswali yote ya msingi kuhusu bidhaa unazouza yanatakiwa yajibiwe kwenye Tangazo lako.

Mfano Unaposema various Type; Umeshindwa kuzi-mention na kuweka specification hata za danganya toto?, Picha je? basi hata bei unayouzia unataka tukuulize kwenye simu gharama ya simu itakuwa compensated kwenye Bei ya Bidhaa?

Jaribu kurekebisha baadhi ya mambo ya msingi urahisishe zoezi!

C lazima kila kitu kiwe ndani ya tangazo, hata cmu inatumika kubargain ile type aliyoitaja.
 
Ningependa kujua Model ya hiyo Projector, Resolution zake, Umbali recomended, warranty, kama ni new or used etc.. nikiridhika na sifa zake nitakutafuta..

Nice and very little used PROJECTORS from USA available, resolutions 800X600 maximum 1024X768, project up to 300 inches diagonal in the screen, the more distance from the screen the more image size.
 
Any question, Anything you want to know, ask me here i will answer you... also you can pm or call the above phone numbers...
 
mkuu,life time ya bulb yake ni masaa mangapi?yamesha2umika mangapi? Kwani tatizo kubwa la projector ni bulb,kwani huwa zina masaa ya kutumika,na bei za bulb inaweza ikazidi bei hiyo unayoiuzia,na haipatikani ovyo ovyo.
 
mkuu,life time ya bulb yake ni masaa mangapi?yamesha2umika mangapi? Kwani tatizo kubwa la projector ni bulb,kwani huwa zina masaa ya kutumika,na bei za bulb inaweza ikazidi bei hiyo unayoiuzia,na haipatikani ovyo ovyo.
Mi ninayo EPSON imekufa Bulb,
Kuondoa uzia natafuta mtu wa hata 200,000/=
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom