Project ya UDART imeshakufa

Nawashauri wakajifunze zaidi ktk jiji la Johannesburg!
 
Naam. Mengine yote ni porojo. Tunachojua ni kuchi kuchi tu!
HIVI hatuna mtanzania/watanzania wazalendo ambao tunaweza watambua halafu ikifika muda wa uchaguzi tukawashinikiza wagombee nafasi nyeti ili waisukume nchi yetu? nadhani hapa mgombea binafsi anahusika
 
lakini hivi ndio vitu vya msingi saana kwa wakazi wa Dar. sasa how come wala hatujigeuzi kudai hii haki?
 
Useless people. Kila siku kulalamika tu. Hakuna kujiongoza kama watu wazima. Miundo mbinu mnayo sasa kelele za nini? Yaani watu wa Dar ni shida ya karne.
 
nasikia wameishitaki serikali kwa kutaka kuleta mwekezaji mpya.
 
Yan pamoja na kuondolewa washindani wao ambao ni daladala bado kampuni inakufa taratibu,management inabidi ijitafakari upya ili kuondoa kero zilizopo.
Na bado tunalalamika kwa nn vidacom wameamua kumleta CEO wa kigeni. Tatizo la utanzania kwenye utawala ni ujanja ujanja kuliko weledi.
 
Na bado tunalalamika kwa nn vidacom wameamua kumleta CEO wa kigeni. Tatizo la utanzania kwenye utawala ni ujanja ujanja kuliko weledi.
Vipi hata nchi yaani nafasi ya urais tukampa mgeni? maana naona longolongo tu
 
Ngoja tumalizie viwanda kwanza tutarudi
 
Za jioni.
Napenda niseme wazi kabisa leo uvumilivu umenishinda, udart mmechemka huu mradi. Tunasubiri basi vituoni zaidi ya saa moja.
Ni kero.
 
Hawa watani zangu wamejazana pale lakini bure kabisa hawana hata ubunifu kidogo.Kilichokuwa kinanafanywa na madaladala(kutega mingo)nao wanatega eti
 
Una leta UDART unaondoa daladala kwenye hizo route kupunguza upinzani, unaleta elimu bure unapiga marufuku michango mashuleni, unawabomolea watu nyumba jangwani kuepuka madhara ya mafuriko kituo cha UDART unajenga katikati ya jangwani....hapo ndio inaponichosha hii serikali ya wanyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…