Programming language gani zitanifaa kwa hii specialization yangu?

Programming language gani zitanifaa kwa hii specialization yangu?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,062
Salam ndugu zangu.
Mimi ni mwanafunzi wa Computer science mwaka wa kwanza.
Nataka ku base kwenye mambo ya security, database, app development, web creation na upande wa server.
Mimi nataka mniambie ni language gani nzuri kwa ishu za security ili nikiunda mifumo niweze kuilinda vizuri isishambuliwe yani nataka langauge ambayo ime base kwa security.
Pia nataka language special mambo ya server sided nategemea kutengeneza database na website mbalimbali pia natakla niwe upande wa server ili niweze kuzi control vyema.
Pia naskia java ndio inatumiwa na Android ku develop Apps ila kama na C++ naimani hakishindikani kitu.
Nataka language kama tatu tuu kwa ajili ya app creation kulingana na vigezo vyangu hapo juu naombeni mnishauri zaidi kwa upana wapi niongeze juhudi na kipi nifanye.
Huku najua kuna senior Programmers so i need your help and advice before starting this journey.
Field gani ya IT inalipa vizuri na uhitaji wake ni mkubwa? graphics, app development, networking au.... hapa nako mkinielimisha ntawashukuru sana, Yes naweza vyote ila nahitaji kujua kipi kina maslahi mazuri ili nikiendee kwa kwa love na effort zote.
By the way nina background ya Java, JavaScript, Html, Css, nimeskia SQL iko poa kwa mambo ya database ila nahitaji ushauri wenu ndugu zangu maana sitaki kupoteza mda, napenda sana hii taaluma ya IT, nahitaji nguzo imara ili nisisome tuu ilimradi bali nisome kwa target/malengo na ndo maana naipigania hivyo basi kwa Neema za Mwenyezi-Mungu na jitihada zangu binafi na msaada mtakaonipa nina imani nitafanikiwa tuombe uzima tuu.
Have a nice day.
 
Hapo kwenye server side lang chukua python au ruby on rails zko fit kwamfano python inatumiwa na instagram na ruby on rails inatumiwa na github kwenye, kwenye lang ya app java ndo kila ktu ila kama unatka kudevelop hybrid apps yan app moja ifanye kaz kote tumia lang.mpya inaitwa angularjs ni JavaScript library
 
Hapo kwenye server side lang chukua python au ruby on rails zko fit kwamfano python inatumiwa na instagram na ruby on rails inatumiwa na github kwenye, kwenye lang ya app java ndo kila ktu ila kama unatka kudevelop hybrid apps yan app moja ifanye kaz kote tumia lang.mpya inaitwa angularjs ni JavaScript library
mkuu nimekupata ila hapo nilipo note kwani java si inafanya? wanasema write once run everywhere?
 
Sina uhakika sana ila najua kwamba java haisom apple na windows
Ni kweli mkuu inasoma kwa OS yoyote, kuna jamaa nlimwona akiwa anahamisha setup ja java netbeans kutoka windo had mac na akachapa code za java kama kawaida.
 
Zawadi kubwa pole sana, nitakupa ushauri kama mtu ambaye ana uzoefu kwenye haya maswala.

Soma anza na C, fungua akili kidogo ufanyefanye mazoezi ukiwa comfortable kidogo na points kama memory allocation, pointers, ukajua simple datastructures kama arrays, linked lists na kuweza kuimplement mwenyewe kwa kutumia C, unaweza achana nayo ukaanza language higher kidogo kama C++ au Java, au kama una mpango wowote wa kuja kufanya systems programming, kutengeneza vitu kama compilers, operating systems then uendelee kukomaa na C uingie very deep, kama huna mpango huo unataka maybe games au calculation intensive apps soma C++, unataka kutengeneza Android apps soma Java, unataka iOS apps soma Swift, kama ni desktop apps language yoyote ile inapiga mzigo vizuri, unataka web development ongezea JavaScript juu yake.

Katika programming, language ni muhimu ndio, kila language ina strength na weaknesses zake, mfano C++ ni very fast inacompile direct into machine code, kwa hiyo inatumika kwenye vitu kama game development, au apps zinazirun 3D graphics, au apps nyingine ambazo zinahitaji intense calculations mfano DNA sequencing, hata websites unaweza tumia C++ kwenye backend lakini haishauriwi kwa kua itakuchukua muda mrefu sana in most cases languages nyingine zitafaa vizuri kuliko C++. Cha mihimu sana kwenye programming ni uwezo wa kufanya abstraction, yaani ukipewa tatizo ujue jinsi ya kuligawa into pieces ambazo unaweza kaa chini ukacode na kupata an efficient solution, hii abstraction unajifunza kwa kujua tools ulizonazo, so utatakiwa usome Datastructures, Algorithms, na kama ni language flani unatumia then ujue features ilizonazo na most importantly ufanye mazoezi ya kutosha, usidharau tatizo, the most simplest problems could have the toughest solutions, solve everything.

Sasa utaanzaje?, kwa kua huna background, nakushauri tafuta CS50, ni harvard course hata youtube utaipata wanaanza from scratch kukujulisha computer ina run vipi, wanafundishia C then baadaye wanahamia Php, ila most importantly wanafundisha problem solving skills. Kama unatenga angalau 3hours a day CS50 unaweza imaliza within 2weeks, then tafuta kitabu endelea kukomaa na C, hapo sasa jaribu kuzoea datastructures mbalimbali, jaribu pia kusolve maswali ya kutosha ya program ndogondogo, C ni kama gari la manual ndio maana nimekwambia uanze nayo, kila kitu unafanya mwenyewe inakusaidia sana kujua jinsi kila kitu kinavyorun. Ukitoka C ukaenda language nyingine hapo mbele utashangaa unavo~catch up kirahisi, unaweza jifunza language kama Java ukaanza kutengeneza program ndogondogo within a day, after a month ukawa tayari unatengeneza simple android apps.

Jaribu kusahau uliyoambiwa hapo juu kua java hairun kwenye sijui windows au apple, ukijua whats a compiler ukafika kusoma na vitu kama java virtual machine utaona ulichoambiwa sio correct yasikuchanganye sasa hivi.
 
Nimejifunza kitu hapa!! by the way mleta mada bora umetambua mapema, wenzako wanamaliza (baadhi) CS wanajua kuweka window kwenye pc basi, programming hawaijui!!!

Kwa ushauri tu popote utapopenda, usiridhike na handout za mwalimu kama unataka kuelewa mambo....check kwenye mitandao maarifa zaidi!!! angalia sehemu za field, nenda sehemu utazopata challenge za kiufundi sio unaenda tu kwa sababu kuna nafasi!! zaidi ya yote tengeneza apps, webs zako kama njia ya mazoezi, naimani baada ya mwaka wa tatu utakua mbali
cc big gift
 
Zawadi kubwa pole sana, nitakupa ushauri kama mtu ambaye ana uzoefu kwenye haya maswala.

Soma anza na C, fungua akili kidogo ufanyefanye mazoezi ukiwa comfortable kidogo na points kama memory allocation, pointers, ukajua simple datastructures kama arrays, linked lists na kuweza kuimplement mwenyewe kwa kutumia C, unaweza achana nayo ukaanza language higher kidogo kama C++ au Java, au kama una mpango wowote wa kuja kufanya systems programming, kutengeneza vitu kama compilers, operating systems then uendelee kukomaa na C uingie very deep, kama huna mpango huo unataka maybe games au calculation intensive apps soma C++, unataka kutengeneza Android apps soma Java, unataka iOS apps soma Swift, kama ni desktop apps language yoyote ile inapiga mzigo vizuri, unataka web development ongezea JavaScript juu yake.

Katika programming, language ni muhimu ndio, kila language ina strength na weaknesses zake, mfano C++ ni very fast inacompile direct into machine code, kwa hiyo inatumika kwenye vitu kama game development, au apps zinazirun 3D graphics, au apps nyingine ambazo zinahitaji intense calculations mfano DNA sequencing, hata websites unaweza tumia C++ kwenye backend lakini haishauriwi kwa kua itakuchukua muda mrefu sana in most cases languages nyingine zitafaa vizuri kuliko C++. Cha mihimu sana kwenye programming ni uwezo wa kufanya abstraction, yaani ukipewa tatizo ujue jinsi ya kuligawa into pieces ambazo unaweza kaa chini ukacode na kupata an efficient solution, hii abstraction unajifunza kwa kujua tools ulizonazo, so utatakiwa usome Datastructures, Algorithms, na kama ni language flani unatumia then ujue features ilizonazo na most importantly ufanye mazoezi ya kutosha, usidharau tatizo, the most simplest problems could have the toughest solutions, solve everything.

Sasa utaanzaje?, kwa kua huna background, nakushauri tafuta CS50, ni harvard course hata youtube utaipata wanaanza from scratch kukujulisha computer ina run vipi, wanafundishia C then baadaye wanahamia Php, ila most importantly wanafundisha problem solving skills. Kama unatenga angalau 3hours a day CS50 unaweza imaliza within 2weeks, then tafuta kitabu endelea kukomaa na C, hapo sasa jaribu kuzoea datastructures mbalimbali, jaribu pia kusolve maswali ya kutosha ya program ndogondogo, C ni kama gari la manual ndio maana nimekwambia uanze nayo, kila kitu unafanya mwenyewe inakusaidia sana kujua jinsi kila kitu kinavyorun. Ukitoka C ukaenda language nyingine hapo mbele utashangaa unavo~catch up kirahisi, unaweza jifunza language kama Java ukaanza kutengeneza program ndogondogo within a day, after a month ukawa tayari unatengeneza simple android apps.

Jaribu kusahau uliyoambiwa hapo juu kua java hairun kwenye sijui windows au apple, ukijua whats a compiler ukafika kusoma na vitu kama java virtual machine utaona ulichoambiwa sio correct yasikuchanganye sasa hivi.
Ok nashukuru sana mkuu weakness zangu ntazifanyika kazi, nice words.
 
Nimejifunza kitu hapa!! by the way mleta mada bora umetambua mapema, wenzako wanamaliza (baadhi) CS wanajua kuweka window kwenye pc basi, programming hawaijui!!!

Kwa ushauri tu popote utapopenda, usiridhike na handout za mwalimu kama unataka kuelewa mambo....check kwenye mitandao maarifa zaidi!!! angalia sehemu za field, nenda sehemu utazopata challenge za kiufundi sio unaenda tu kwa sababu kuna nafasi!! zaidi ya yote tengeneza apps, webs zako kama njia ya mazoezi, naimani baada ya mwaka wa tatu utakua mbali
cc big gift
pamoja mkuu
 
Salam ndugu zangu.
Mimi ni mwanafunzi wa Computer science mwaka wa kwanza.
Nataka ku base kwenye mambo ya security, database, app development, web creation na upande wa server.
Mimi nataka mniambie ni language gani nzuri kwa ishu za security ili nikiunda mifumo niweze kuilinda vizuri isishambuliwe yani nataka langauge ambayo ime base kwa security.
Pia nataka language special mambo ya server sided nategemea kutengeneza database na website mbalimbali pia natakla niwe upande wa server ili niweze kuzi control vyema.
Pia naskia java ndio inatumiwa na Android ku develop Apps ila kama na C++ naimani hakishindikani kitu.
Nataka language kama tatu tuu kwa ajili ya app creation kulingana na vigezo vyangu hapo juu naombeni mnishauri zaidi kwa upana wapi niongeze juhudi na kipi nifanye.
Huku najua kuna senior Programmers so i need your help and advice before starting this journey.
Field gani ya IT inalipa vizuri na uhitaji wake ni mkubwa? graphics, app development, networking au.... hapa nako mkinielimisha ntawashukuru sana, Yes naweza vyote ila nahitaji kujua kipi kina maslahi mazuri ili nikiendee kwa kwa love na effort zote.
By the way nina background ya C++, JavaScript, Html, Css, nimeskia SQL iko poa kwa mambo ya database ila nahitaji ushauri wenu ndugu zangu maana sitaki kupoteza mda, napenda sana hii taaluma ya IT, nahitaji nguzo imara ili nisisome tuu ilimradi bali nisome kwa target/malengo na ndo maana naipigania hivyo basi kwa Neema za Mwenyezi-Mungu na jitihada zangu binafi na msaada mtakaonipa nina imani nitafanikiwa tuombe uzima tuu.
Have a nice day.

Hello BigGift,
Hongera kwa kuchagua CS. Nchi yetu inahitaji watu kama wewe, na sasa hivi hili soko ndio litaanza kukua kwa kasi kupita kiasi.

Nafikiri maelezo ya Graph, yalikuwa yamesheheni mawazo mazuri na maelezo ya kutosha.

Lakini mimi ningependa kuongeza mambo mawili. Kwanza, utumiaji wa Linux and pili, kuhusiana na Open Source.
Nafahamu swali lako ni kupenda kujua kuhusu "software security" lkn vile vile unapenda kujifunza kuhusu App Development, Mobile Development. na Server Management.

Mie sio mtumiaji mzuri wa Windows MS OS, napenda Linux ( Fedora my choice distro) ila kwa muda mwingi niliokuwa natumia Linux, nimejifunza mengi kuhusu Security and security in Software. [ Security is a wide topic]. Security is tough, and requires a lot of experience too. In Linux, so many security tools you will have accessible to you.
Regarding kujifunza kuhusu software/ app development, kuna open source project ambazo unaweza kujiunga na kuwa unafanya contribution ya software/ app development, huko utakutana na software developers/ engineers from all over the world ambao wana-mapenzi na project zao na vitu tofauti na wanafanya vitu mbali mbali. Mie nipo KDE team, karibu.

Kuhusu programming language, hapa usikwepe C/C++ na kuna kozi za alogarithm+data structures, hiyo kitu ndio kila kitu aisee. Python, Java, JS, HTML, SQL learn the basics unless unataka kuwa UI/UX guru..

Kwenye software game usilale hata kidogo. Every year, soma new language and things will flow naturally.

Ni hayo tuu..
 
Hello BigGift,
Hongera kwa kuchagua CS. Nchi yetu inahitaji watu kama wewe, na sasa hivi hili soko ndio litaanza kukua kwa kasi kupita kiasi.

Nafikiri maelezo ya Graph, yalikuwa yamesheheni mawazo mazuri na maelezo ya kutosha.

Lakini mimi ningependa kuongeza mambo mawili. Kwanza, utumiaji wa Linux and pili, kuhusiana na Open Source.
Nafahamu swali lako ni kupenda kujua kuhusu "software security" lkn vile vile unapenda kujifunza kuhusu App Development, Mobile Development. na Server Management.

Mie sio mtumiaji mzuri wa Windows MS OS, napenda Linux ( Fedora my choice distro) ila kwa muda mwingi niliokuwa natumia Linux, nimejifunza mengi kuhusu Security and security in Software. [ Security is a wide topic]. Security is tough, and requires a lot of experience too. In Linux, so many security tools you will have accessible to you.
Regarding kujifunza kuhusu software/ app development, kuna open source project ambazo unaweza kujiunga na kuwa unafanya contribution ya software/ app development, huko utakutana na software developers/ engineers from all over the world ambao wana-mapenzi na project zao na vitu tofauti na wanafanya vitu mbali mbali. Mie nipo KDE team, karibu.

Kuhusu programming language, hapa usikwepe C/C++ na kuna kozi za alogarithm+data structures, hiyo kitu ndio kila kitu aisee. Python, Java, JS, HTML, SQL learn the basics unless unataka kuwa UI/UX guru..

Kwenye software game usilale hata kidogo. Every year, soma new language and things will flow naturally.

Ni hayo tuu..
shukrani mkuu
 
Kila programming language ni nzuri. Ni uchaguzi wako tu.
 
Kila programming language ni nzuri. Ni uchaguzi wako tu.
according to my need as i said earlier which one will help me to reach my destination sisomi tuu ovyo ovyo naenda kwa target
 
according to my need as i said earlier which one will help me to reach my destination sisomi tuu ovyo ovyo naenda kwa target
Aisee. Husomi ovyo ovyo. Je uwezo wako ukoje? Maana unaweza ukatamani kisha ukashindwa. Programming is very difficult inahitaji discipline ya hali ya juu. Kila programming language ni nzuri ukiielewa.

Na technology inabadilika kila kukicha.
 
Aisee. Husomi ovyo ovyo. Je uwezo wako ukoje? Maana unaweza ukatamani kisha ukashindwa. Programming is very difficult inahitaji discipline ya hali ya juu. Kila programming language ni nzuri ukiielewa.

Na technology inabadilika kila kukicha.
Huu ndio ugumu wa taaluma yetu ila uwezo ninao na ndo maana unaona najituma huku nipate njia nzuri kufanikisha malengo yangu, sikurupuki kabisa.
Ni kweli programming ni ngumu ila ukiendelea kujituma na kutatua problems mbalimbali utaelewa, siku zote mwanzo ni mgumu ni ukipata concept mambo yanakua rahisi sana
 
Huu ndio ugumu wa taaluma yetu ila uwezo ninao na ndo maana unaona najituma huku nipate njia nzuri kufanikisha malengo yangu, sikurupuki kabisa.
Ni kweli programming ni ngumu ila ukiendelea kujituma na kutatua problems mbalimbali utaelewa, siku zote mwanzo ni mgumu ni ukipata concept mambo yanakua rahisi sana
Programming hakuna mambo marahisi.
Ukurupuke usikurupuke no difference. Hakuna bra bra kwenye programming.
Programming languages zote ni nzuri ni uamuzi wako tu.

Siku moja utanielewa hiki ninachokisema.
Mimi ninafanya software development na database design. Kila siku vitu vinabadilika. Na kama unataka kusolve business problems ni lazima kila wakati unasoma.

Anza na programming language yeyote. Tofauti ya programming language ni syntax lakini concepts zina shabihiana.
 
Programming hakuna mambo marahisi.
Ukurupuke usikurupuke no difference. Hakuna bra bra kwenye programming.
Programming languages zote ni nzuri ni uamuzi wako tu.

Siku moja utanielewa hiki ninachokisema.
Mimi ninafanya software development na database design. Kila siku vitu vinabadilika. Na kama unataka kusolve business problems ni lazima kila wakati unasoma.

Anza na programming language yeyote. Tofauti ya programming language ni syntax lakini concepts zina shabihiana.
sawa mkuu ntafanyia kazi ushauriwako lakin
 
Hii yaweza kuwa kwa faida ya wengine na sio ya wewe tu,waweza ichukua or hapana!
Ntashauri kulingana na kitu nilicho na exposure nacho and I will not go into other parts!

Wondering ni lugha gani ungejikita nayo basi waweza Consider C# kama lugha mojawapo,C# inakua run na Microsoft Na target yake kubwa imejikita katika simplicity,na uwezo wa kuwa multi-purpose ukisoma historia yake utakuta somewhere Microsoft alishawaza kuipatia jina la COOL maana yake C-like Object Oriented Language ila tu kwa Sababu za trademarks hakuweza kulichukua ilo jina!

kwa sasa waaweza cover maeneo mbali mbali using a single language!

Mobile Apps
1.Native android apps using Xamarin.Android
2.Native iOS apps using Xamarin.iOS
3.Cross-pltform Mobile apps i.e Android,iOS and Windows Phone apps sharing 70-93% of the code using Xamarin.Forms

Desktop Apps
1.Native OS X desktop apps using Xamarin.Mac
2.Windows Desktop apps

Web apps
1. ASP.NET MVC Core 1.0 kwa hapa wame target cross-platforms linux inclusive, You dont need Windows server anymore
2.ASP.NET MVC 5 na ASP.NET Web forms hizi zinafanya katika windows server pekee kwa kutumia IIS,web server by microsoft
3.Hili ufanikiwe kwa hizo web apps utaitaji additional knowledge ya framework yoyote ya Javascript
4.SQL

Games
1.Unity and C# being listed as language used in developing the engine the runtime being C++!

Kama wadau walivoainisha awali kwamba kila lugha ina weakness na advantages zake,Na some employers wana request apps zao zitengenezwe katika language fulani kutengemea na Technolojia wanayotumia kama wanatumia microsoft they will demand you uwatengenezee microsoft based app!

Last but not least You cant develop iOS na OS X apps bila kuwa na Macbook au bila kuwa na PC inayo run atleast hackitosh OS.
 
Hii yaweza kuwa kwa faida ya wengine na sio ya wewe tu,waweza ichukua or hapana!
Ntashauri kulingana na kitu nilicho na exposure nacho and I will not go into other parts!

Wondering ni lugha gani ungejikita nayo basi waweza Consider C# kama lugha mojawapo,C# inakua run na Microsoft Na target yake kubwa imejikita katika simplicity,na uwezo wa kuwa multi-purpose ukisoma historia yake utakuta somewhere Microsoft alishawaza kuipatia jina la COOL maana yake C-like Object Oriented Language ila tu kwa Sababu za trademarks hakuweza kulichukua ilo jina!

kwa sasa waaweza cover maeneo mbali mbali using a single language!

Mobile Apps
1.Native android apps using Xamarin.Android
2.Native iOS apps using Xamarin.iOS
3.Cross-pltform Mobile apps i.e Android,iOS and Windows Phone apps sharing 70-93% of the code using Xamarin.Forms

Desktop Apps
1.Native OS X desktop apps using Xamarin.Mac
2.Windows Desktop apps

Web apps
1. ASP.NET MVC Core 1.0 kwa hapa wame target cross-platforms linux inclusive, You dont need Windows server anymore
2.ASP.NET MVC 5 na ASP.NET Web forms hizi zinafanya katika windows server pekee kwa kutumia IIS,web server by microsoft
3.Hili ufanikiwe kwa hizo web apps utaitaji additional knowledge ya framework yoyote ya Javascript
4.SQL

Games
1.Unity and C# being listed as language used in developing the engine the runtime being C++!

Kama wadau walivoainisha awali kwamba kila lugha ina weakness na advantages zake,Na some employers wana request apps zao zitengenezwe katika language fulani kutengemea na Technolojia wanayotumia kama wanatumia microsoft they will demand you uwatengenezee microsoft based app!

Last but not least You cant develop iOS na OS X apps bila kuwa na Macbook au bila kuwa na PC inayo run atleast hackitosh OS.
Now your talking.
 
Hii yaweza kuwa kwa faida ya wengine na sio ya wewe tu,waweza ichukua or hapana!
Ntashauri kulingana na kitu nilicho na exposure nacho and I will not go into other parts!

Wondering ni lugha gani ungejikita nayo basi waweza Consider C# kama lugha mojawapo,C# inakua run na Microsoft Na target yake kubwa imejikita katika simplicity,na uwezo wa kuwa multi-purpose ukisoma historia yake utakuta somewhere Microsoft alishawaza kuipatia jina la COOL maana yake C-like Object Oriented Language ila tu kwa Sababu za trademarks hakuweza kulichukua ilo jina!

kwa sasa waaweza cover maeneo mbali mbali using a single language!

Mobile Apps
1.Native android apps using Xamarin.Android
2.Native iOS apps using Xamarin.iOS
3.Cross-pltform Mobile apps i.e Android,iOS and Windows Phone apps sharing 70-93% of the code using Xamarin.Forms

Desktop Apps
1.Native OS X desktop apps using Xamarin.Mac
2.Windows Desktop apps

Web apps
1. ASP.NET MVC Core 1.0 kwa hapa wame target cross-platforms linux inclusive, You dont need Windows server anymore
2.ASP.NET MVC 5 na ASP.NET Web forms hizi zinafanya katika windows server pekee kwa kutumia IIS,web server by microsoft
3.Hili ufanikiwe kwa hizo web apps utaitaji additional knowledge ya framework yoyote ya Javascript
4.SQL

Games
1.Unity and C# being listed as language used in developing the engine the runtime being C++!

Kama wadau walivoainisha awali kwamba kila lugha ina weakness na advantages zake,Na some employers wana request apps zao zitengenezwe katika language fulani kutengemea na Technolojia wanayotumia kama wanatumia microsoft they will demand you uwatengenezee microsoft based app!

Last but not least You cant develop iOS na OS X apps bila kuwa na Macbook au bila kuwa na PC inayo run atleast hackitosh OS.
thanks you
 
Back
Top Bottom