Programmer naomba msaada wenu

Jamii forum nisehemu ya kuelimishana. Swali langu kuuliza kuhusu facebook linajibiwa vizuri na hii link hapa Comparison of HTML parsers - Wikipedia

Angalia comparison za izo html parser angalia latest data za PHP -htlm parser napia angalia ability za php- html parser utajua kwanini hutakiwa mwambia mwanao asome hiyo language inayoenda kufa (Php)

Kaangalie java -HTML parser especially Jsoap na pia cheki python ndo utanielewa. Yani kama unategemea PHP unataka soma HTMl5 url kupata heading na images inakula kwako ila lang imara zinapeta tu.

Nahuu mzuka waku migrate kwena Node.js ndo kabisa inapotea

Poor Php japo imenipa pesa za website kadhaa hahaha.

Mnaotaka soma languages mpya wekezeni kwenye JavaScript mambo ndo yaliko sasa (Angular, React , Cordova, node.js etc) potezeeni php kabisa

Ila thanks mkuu kwa mchango. Within day nimeanza ona output na java.

Kuna mtu kaniwekea php apo juu sijui nifanye nini kwenye link , ilo alikuwa sio swali langu japo nashukuru kwa mchango asee

Without challenge no development. Nashukuru wote
 
Bado una safari ndefu sana ya kujifunza, keep going...
1. Hauwezi kusema uhai wa lugha kwa kutumia kigezo dhaifu kama Parser ya HTML. Kwanza lazima ujue HTML parser ni addon kwenye language na hata katika comparison yako unaona kabisa hilo. Mfano Beautiful Soup sio part ya core Python. Hiyo haimaanishi kuwa Python itakufa anytime soon.

2. HTML iliyoandikwa vyema ni sawa na XML na PHP ina XML parsers nzuri tu. So ni kwa makusudi kabisa PHP na language karibu zote zina uwezo mkubwa wa kushughulika na XML lakini sio HTML. Kama ni HTML cleaning, HTML purifier inafanya kazi vizuri. Pia unaweza kutumia REGEX pale ambapo inakidhi mahitaji. Lakini pia kama unahitaji kushughulika na HTML DOM kuna libs kama hii: GitHub - paquettg/php-html-parser: An HTML DOM parser. It allows you to manipulate HTML. Find tags on an HTML page with selectors just like jQuery.

Kaangalie java -HTML parser especially Jsoap na pia cheki python ndo utanielewa. Yani kama unategemea PHP unataka soma HTMl5 url kupata heading na images inakula kwako ila lang imara zinapeta tu.
Fundi mbovu hulaumu vifaa. Kwanza hakuna language ambayo imeundwa kufanya kila kitu. Kwa hiyo si lazima katika server utumie PHP. Unaweza kutumia chochote unaona kinafanya kazi vyema. Lakini kama nilivyoonyesha hapo juu, PHP huo uwezo inao na the fact kwamba hujui kuwa ina huo uwezo inasema zaidi juu ya level yako ya weledi na sio mwelekeo wa kufa wa PHP.

Nahuu mzuka waku migrate kwena Node.js ndo kabisa inapotea
Hata NodeJs sio silver bullet ya kila tatizo. Bado itafika sehemu unaweza kuhitaji lugha nyingine. Ndio maana ktk toolbox ya fundi hukuti nyundo pekee. Anajua kuna wakati anahitaji bisibisi na huwezi kukuta anaiponda bisibis eti haina faida kwa kuwa haiwezi kugonga kama nyundo

Poor Php japo imenipa pesa za website kadhaa hahaha.
Nadhani hapa ndio mzizi wa tatizo la wengi wenye fikra kama zako. Mmetumia PHP ka ajili ya websites tu ambazo mostly umetumia include, mysqli, pretty much that is all. Sina hakika kama ume deal na rich features za PHP. Kwa hiyo unakuta mtu hata haijui PHP kwa sababu haja deal na PHP zaidi ya kupapasa.

Mnaotaka soma languages mpya wekezeni kwenye JavaScript mambo ndo yaliko sasa (Angular, React , Cordova, node.js etc) potezeeni php kabisa
Ushauri mbovu kabisa. Angular na React ni front end JS frameworks huwezi kuziweka kundi moja na NodeJs ambayo ni SSL. Kwamba wapotezee PHP kwa sababu mbovu ulizozitoa juu? No way! Bado PHP ipo sana na ninashauri mtu akianza aanze na Python na ahakikishe anajua at least 2 Server Side (prefarably PHP na NodeJs but Ruby, Python, Java et al is fine) 1 SS Language that supports concurrency, 1 Language for each Mobile Platform, 1 desktop dev language, and as much frameworks in those languages as he can catch up.

Ila thanks mkuu kwa mchango. Within day nimeanza ona output na java.

Kuna mtu kaniwekea php apo juu sijui nifanye nini kwenye link , ilo alikuwa sio swali langu japo nashukuru kwa mchango asee

Without challenge no development. Nashukuru wote
Ninachoona kwenye post yako ni utoto wa kisimba. Najua kadri unavyokua utaacha kebehi za kitoto na kuanza kuandika kama Msimba mtu mzima!

Peace!
 
Sina mengi zaidi ya Asante Mr .
I hope watu wamejifunza piah

So peace!!
 

What a poor argument.
Ila kitendo tu cha kuweka kundi moja Angular,React na NodeJs imeonyesha jinsi uwelewa wako ulivyokuwa mdogo.

Sina mengi. nafikir ushaambiwa hapo juu.!
 
Nilitaka potezea majibizano ila wacha niseme kitu.

Nimeweka izo lang pamoja coz zote ni javaScipt ivi mabano hayaeleweki au

Kama node.js sio javaSript niambie nikitu gani?

Node.js ni javaScript at back-end naifahamu vizuri sana , mtu akijifunza JavaScript basi hasumbuki na Node.

Ktk compny JavaScript inasaidia front end na back-end ku switch kirahisi.

Kuhusu Nguvu ya php ukifanya comparison na zingine ukweli mnaujua wala tusibishane.

Nitamshairi mtu soma JavaScript coz atakuwa bora haraka both front and back piah ataweza tengeneza hybrid Apps kirahisi piah.


Nihayo2 minaacha maneno nafanya kazi na beast langu java kwanza nina deadline Apa.

Stukeni na PHP yenu kwa nini big players Wanahama iyo kitu.

Mwisho fuatilia orodha ya companies zinazotumia node na php utajua kabaki facebook tu nadhani nakila siku ana tafta kitu kuweka top on php.

*washaurini madogo vizuri watakua mgeni wanani na PHP*

[HASHTAG]#Hii[/HASHTAG] mada nimemaliza ukweli mnaujua.
 
Kukazia usemi wangu piteni hapa https://www.quora.com/Which-languag...-Java-Scala-or-Python/answer/Adam-Englander-2


Napia piteni hapa kujua watu wanavo migrate na sababu https://unitedcyberdevelopment.com/...ched-to-node-js-is-node-js-the-future-of-web/


**kama unataka ajira faster kua mzuri kwenye JavaScript **"

Mnabishana nami pitieni hizo posts Apo. Wala madogo msiwadanganye nilipata kazi mapema coz of Java na python wengi walikua na PhP zao wakaachwa tu, napia siku izi ukiwa fundi wa javaScript basi ni benefit kwa company coz unatumika in multiple ways kuanzia hybrid Apps, Chatting issues, front - end na back-end.

**Mnao tetea php mtawaacha madogo nanjaa endeleeni tu**

New blood nieleweni. Am out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…