Program inayo tengeneza social network app

kazi za watu hizo boss yani hapo lazima uanze from the scratch uchore codes mwanzo mwisho. ila kama una idea nzuri ongea na developer akutengenezee then uinvest mpige pesa. Ila kama unajifunza basi nenda chuo upate maujanja zaid from A to Z
 
Kama na Elimu ya darasa la 7 na miaka 35 naweza kupata chuo cha IT nikajifunza na nikaja kuwa mtu hatari kwenye masuala ya compyuter?

Ipo ndani ya moyo sema majukumu ya maisha yamekuwa meng sasa namda wa kutosha.
 
kazi za watu hizo boss yani hapo lazima uanze from the scratch uchore codes mwanzo mwisho. ila kama una idea nzuri ongea na developer akutengenezee then uinvest mpige pesa. Ila kama unajifunza basi nenda chuo upate maujanja zaid from A to Z
Unatumia system gan kuchapa izo code na je nkitumia tutorial za youtube siwezi elewa
 
Na unatumia system gan kuchapa izo code na je nkitumia tutorial za youtube swezi elwa
Mkuu kwanza inategemea unataka kutengeneza app ya nini mfano ya simu za adroid au iphones au wataka web apps.
Itabidi ujifunze programming languages mfano swift & C# kwa iphone apps au java kwa android.
Kuna python, c++, msql, java script, php n.k
So kwanza ujue wataka fanya nini uchague language uanze kujifunza hata via youtube kwa language nyingi utahitaji compiler nyingne utahitaji server yan ugeuze pc yako kuwa server ni kitu easy tu.
Lakini inahitaji commitment na usikate tamaa na mazoezi sana usitegemee eti ujifunze ndani ya mwaka mmoja uje tengeneza kitu kama whatsapp au fb.
 
Mkuu kwanza inategemea unataka kutengeneza app ya nini mfano ya simu za adroid au iphones au wataka web apps.
Itabidi ujifunze programming languages mfano swift & C# kwa iphone apps au java kwa android.
Kuna python, c++, msql, java script, php n.k
So kwanza ujue wataka fanya nini uchague language uanze kujifunza hata via youtube kwa language nyingi utahitaji compiler nyingne utahitaji server yan ugeuze pc yako kuwa server ni kitu easy tu.
Lakini inahitaji commitment na usikate tamaa na mazoezi sana usitegemee eti ujifunze ndani ya mwaka mmoja uje tengeneza kitu kama whatsapp au fb.
Vipi unaifahamu "xcode" nimeona youtube wanaitumia kutengeneza social network app
 
Kajifunze Html Na Css Rahisi Sana Kuelewa Mimi Nimekula Kozi Mwaka Wa Pili Huu Ninaujuzi Kiasi Changu Hata Nikiajiliwa Kwenye Company Ya Bikosports Ninauwezo Huwo.
 
Vipi unaifahamu "xcode" nimeona youtube wanaitumia kutengeneza social network app
Mkuu Xcode ni Intergrated ddevelopment environment (IDE) kwa ajili ya kutengenezea apps na softwares kwa ajili ya platforms za apple kama Mac Os, ios, saa zao na apple Tv. ina support programming languages kibao kama C, C++, Objective-C, Objective-C++, Java, AppleScript, Python,Ruby, Rez, na Swift source code na nyingine nyingi.
Kwa hiyo ile ni kama editor tu ya kuchapa codes na inakusaidia kudebug, pia inakuwa na compiler pamoja na intepreter.
Yani Xcode ni software yenye tools zinazokusaidia kutengeneza apps na softwares.
IDE zipo nyingi tu mfano NetBeans na Eclipse na nyingine nyingi
 
Mkuu Xcode ni Intergrated ddevelopment environment (IDE) kwa ajili ya kutengenezea apps na softwares kwa ajili ya platforms za apple kama Mac Os, ios, saa zao na apple Tv. ina support programming languages kibao kama C, C++, Objective-C, Objective-C++, Java, AppleScript, Python,Ruby, Rez, na Swift source code na nyingine nyingi.
Kwa hiyo ile ni kama editor tu ya kuchapa codes na inakusaidia kudebug, pia inakuwa na compiler pamoja na intepreter.
Yani Xcode ni software yenye tools zinazokusaidia kutengeneza apps na softwares.
IDE zipo nyingi tu mfano NetBeans na Eclipse na nyingine nyingi
So netbeans na xcode ipi iko poa sana
 
Mkuu Xcode ni Intergrated ddevelopment environment (IDE) kwa ajili ya kutengenezea apps na softwares kwa ajili ya platforms za apple kama Mac Os, ios, saa zao na apple Tv. ina support programming languages kibao kama C, C++, Objective-C, Objective-C++, Java, AppleScript, Python,Ruby, Rez, na Swift source code na nyingine nyingi.
Kwa hiyo ile ni kama editor tu ya kuchapa codes na inakusaidia kudebug, pia inakuwa na compiler pamoja na intepreter.
Yani Xcode ni software yenye tools zinazokusaidia kutengeneza apps na softwares.
IDE zipo nyingi tu mfano NetBeans na Eclipse na nyingine nyingi
Eclipse , xcode na netbeans zote znaweza kutengeneza social network app
 
Mkuu Xcode ni Intergrated ddevelopment environment (IDE) kwa ajili ya kutengenezea apps na softwares kwa ajili ya platforms za apple kama Mac Os, ios, saa zao na apple Tv. ina support programming languages kibao kama C, C++, Objective-C, Objective-C++, Java, AppleScript, Python,Ruby, Rez, na Swift source code na nyingine nyingi.
Kwa hiyo ile ni kama editor tu ya kuchapa codes na inakusaidia kudebug, pia inakuwa na compiler pamoja na intepreter.
Yani Xcode ni software yenye tools zinazokusaidia kutengeneza apps na softwares.
IDE zipo nyingi tu mfano NetBeans na Eclipse na nyingine nyingi
Na kama inawezekana nitumie namba ako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom