tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
A nice commentHuwezi ku2a prof bila kufundisha... Huyo prof alifundisha wapi na ilikuaje akaacha kufundisha? Je ni criminal?
A nice commentHuwezi ku2a prof bila kufundisha... Huyo prof alifundisha wapi na ilikuaje akaacha kufundisha? Je ni criminal?
Umpe KAZI gani kama ualimu Wa sanaa ushafutwaKama ni kweli itabidi twende tukamchukue tumrudishe apewe kazi tz
Kinawaumiza wengi sana hicho kitendo cha kukariri hayoKuna watu mmeumbwa kukariri kwamba mtu akiisha kuwa na elimu ya kiwango fulani basi aina fulani ya kazi haimfai tena!
hakuna cha ukachero mbeba box tu,Ni kachero huyo
siyo dharau mzee . Huyo atakuwa kwenye kitu kinaitwa mafichoni (kwa waliobobea kwenye intelejensia).Duh!! Hizi dharau sasa!!!