Kweli mkuu,ila kwa ss prof anapambana na ugonjwa wa kisukari alioupata hivi karibuni aki recover vizuri labda atafanya vyema. Naona afanye colabo na Roma Mkatoliki ambaye naona anachukuwa nafasi yake
Kweli mkuu,ila kwa ss prof anapambana na ugonjwa wa kisukari alioupata hivi karibuni aki recover vizuri labda atafanya vyema. Naona afanye colabo na Roma Mkatoliki ambaye naona anachukuwa nafasi yake