PROFESSOR Anatafuta Kazi

Dah nasikitika kuona prof anatia aibu kiasi hiki kutojua michongo au organizati non mpaka akutume ww
 
Asanteni kwa ushirikiano, kuna member hapa jf amesaidia sana. Nimempa cv leo baba mdogo alienda kwa mazungumzo ktk intern org fulani. Ubarikiwe sana mkuu... LONG LIVE JF
 

If he is a renown and reputable professor, mwambie atume vyeti vyake au aende physically St Augustine University of Tanzania (SAUT) huko atapata kazi.
 
anaziba nafasi za chipukizi.
arudi kijijini akalime, au hapafikiki?
hana aibu??? mtu mzima hovyoooo!!!! anacheza kimamamamaaa..
 
Asanteni kwa ushirikiano, kuna member hapa jf amesaidia sana. Nimempa cv leo baba mdogo alienda kwa mazungumzo ktk intern org fulani. Ubarikiwe sana mkuu... LONG LIVE JF

Idumu JF nimeshangaa sana kuona kuna wajinga wadogo wadogo wanarudha vijembe kisa ni wivu tu. Tena wivu wa kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…