Profesor Joseph Haule kumbe aliona mbali ..

Hakuona Mbali Alielezea Tu Hali Halisi Ni Kama Roma Mkatoliki Kwenye Mathematic Anaposema "bandugu Bwaga Manyanga Ayaokote Magufuli'aliimba Tu Ila Hakujua Mrithi Wa Kikwete Ni Magufuli Ni Mambo Tu Yaliyopo Labda Yapo Kwa Mda Mrefu.
 
Sijui ilikuwaje nikaangusha kura yangu kwa huyu jamaaa leo wanasema anajua anaweza ndo mana akachukua form wakati wana nchi ndo tumwemweka hapo so disappointed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom