Profesa mwenye digirii 145!

Profesa mwenye digirii 145!

Nasikia ukisoma sana ukapata PHD unakuwa huwezi kuongea na kuandika vizuri kiingereza maana unakisahau.. On behalf of myself and people of Tanzania
unataka shari wewe!
 
Course ya actuarial science ni ngumu sana lakin ukijidedicate unaweze faulu vizur lakin chanjo cha Kuifaulu ni kusomea chuo kizuri,kujituma na uwe unajua hesabu nikimaanisha upende kuelewa probability kiujumla kama mwanzo wa kuipenda for more information about it email me arthur.malya@ymail.com
 
Kuna watu wana vi phd vyao vya kukariri na hatulali, je wangekuwa na yote hayo?
 
Elimu ya bongo tunabaniana sana. Mtu kukupatia PhD anahisi kama atapoteza kiungo cha mwili wake
Kuna moja tu hapo kaogopa kuipiga zaidi ya mara moja, ambayo ni "PhD" nyingine zote kazichafua ile mbaya especially Master, unajua kwa nini hakuipiga zaidi?....
 
View attachment 440658 Professor Parthiban teaches over 100 subjects in different colleges in the city. He finds studying enjoyable and spends his Sundays in either appearing for exams or writing research papers. Despite his vast knowledge over an impressive array of subjects, Professor Parthiban admits that he finds mathematics difficult. “I failed in Actuarial Sciences. The course required a lot of mathematics, and I didn’t put in enough effort,” he said.
Kwa kiswahili mkuu
 
Back
Top Bottom