atumbuliwe. akasome advance kwanza. ingekua kwetu huku bi. ndali angemnyang'anya degree zake zote.Harafu hajapita form six,amepitia certificate/diproma ha ha
hiyo actuarial science huwa wana soma ma T. O tu
unaijua kwanza??Si kweli..
Ni Chiz kwa namna nyngne huyuDah haya ni matatizo
Nasikia ukisoma sana ukapata PHD unakuwa huwezi kuongea na kuandika vizuri kiingereza maana unakisahau.. On behalf of myself and people of Tanzania
unataka shari wewe!Hapo ndio namimi nashangaakwa hiyo katumia miaka mingap kuzipata hizo degree zote?,
Kuna moja tu hapo kaogopa kuipiga zaidi ya mara moja, ambayo ni "PhD" nyingine zote kazichafua ile mbaya especially Master, unajua kwa nini hakuipiga zaidi?....Elimu ya bongo tunabaniana sana. Mtu kukupatia PhD anahisi kama atapoteza kiungo cha mwili wake
hiyo actuarial science huwa wana soma ma T. O tu
Kwa kiswahili mkuuView attachment 440658 Professor Parthiban teaches over 100 subjects in different colleges in the city. He finds studying enjoyable and spends his Sundays in either appearing for exams or writing research papers. Despite his vast knowledge over an impressive array of subjects, Professor Parthiban admits that he finds mathematics difficult. “I failed in Actuarial Sciences. The course required a lot of mathematics, and I didn’t put in enough effort,” he said.